Pita hapa Mara Kuna tatizo

Pita hapa Mara Kuna tatizo

Sasa hivi ukiomba ushauri cha kwanza andika umri wako.
Iwe rahisi kujua tunakushauri kwa namna gani?
Unajua hivi vitoto vinapotezwa sana na mitandao,anachuka mambo ya humu kisha anayapeleka kwenye uhalisia wa maisha yake,humu mtu anaweza kua anajisifu sijui ni mchakataji wa mbususu kila kona kumbe unakuta ni mtu ana familia yake na anajiheshimu na kuweka mipango yake na mustakbali wake wa maisha,hii mitandao inahitaji akili ya ziada,sio kila kinachoongelewa ndio kinachofanyika on the ground.
 
Unajua hivi vitoto vinapotezwa sana na mitandao,anachuka mambo ya humu kisha anayapeleka kwenye uhalisia wa maisha yake,humu mtu anaweza kua anajisifu sijui ni mchakataji wa mbususu kila kona kumbe unakuta ni mtu ana familia yake na anajiheshimu na kuweka mipango yake na mustakbali wake wa maisha,hii mitandao inahitaji akili ya ziada,sio kila kinachoongelewa ndio kinachofanyika on the ground.
Nimejifunza kitu mkuu
 
Unajua hivi vitoto vinapotezwa sana na mitandao,anachuka mambo ya humu kisha anayapeleka kwenye uhalisia wa maisha yake,humu mtu anaweza kua anajisifu sijui ni mchakataji wa mbususu kila kona kumbe unakuta ni mtu ana familia yake na anajiheshimu na kuweka mipango yake na mustakbali wake wa maisha,hii mitandao inahitaji akili ya ziada,sio kila kinachoongelewa ndio kinachofanyika on the ground.
Watu wengi humu walinishauri nimle tunda
 
Siku nyingine mwanamke akikwambia mtumie condom wewe tumia hata kama ulikuwa hauna mpango wa kutumia ila tumia tu.

Hapo kuna mawili.
Hakuamini juu ya afya yako.
Au hataki kukuambukiza maradhi umpe lawama baadae.
Ila sasa nyie mwanamke akiulizia condom ndio mnataka kavu mkidhani kwakua kaulizia condom maana yake yupo salama na anaogopa ukimwi.
Halafu huwa wanalalamika kwamba wanawake hawapendi kutumia ndom kumbe ni wao wenyewe.
 
Unajua hivi vitoto vinapotezwa sana na mitandao,anachuka mambo ya humu kisha anayapeleka kwenye uhalisia wa maisha yake,humu mtu anaweza kua anajisifu sijui ni mchakataji wa mbususu kila kona kumbe unakuta ni mtu ana familia yake na anajiheshimu na kuweka mipango yake na mustakbali wake wa maisha,hii mitandao inahitaji akili ya ziada,sio kila kinachoongelewa ndio kinachofanyika on the ground.
Hapo ndipo wanapofeli, humu mara nyingi ni changamsha genge, useriou upo kwenye mada na mada.

Wajue kutofautisha kati ya KITAMBI na MIMBA,
Inabidi wachanganye za kuambiwa na za kwao.
 
Siku nyingine mwanamke akikwambia mtumie condom wewe tumia hata kama ulikuwa hauna mpango wa kutumia ila tumia tu.

Hapo kuna mawili.
Hakuamini juu ya afya yako.
Au hataki kukuambukiza maradhi umpe lawama baadae.
Ila sasa nyie mwanamke akiulizia condom ndio mnataka kavu mkidhani kwakua kaulizia condom maana yake yupo salama na anaogopa ukimwi.
Una hoja.
 
Kwanza mnaonekana wote ninwadogo. Ila maadamu una nia, na dini yenu inaruhusu, endelea kumjali. Kwako naamini unampenda zaidi ya kumtamani. Kwake upendo wake utaanza kujijenga taratibu juu yako kulingana na wewe unavyoendelea kumjali. Huyo ni wako
 
Dogo upo fasta sana yaani kila unachoshauriwa humu unaenda kutekeleza.
Halafu unataka kuoa kabisa. Umeshajiridhisha? Utakuja kulia ulete bango lingine, na sisi tutakuwepo hapa hapa kusindikiza machungu yako.
Sawa ngoja nijipe mda zaidi wa kumfuatilia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom