Pishi la ugali na dagaa

nakwede97

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2021
Posts
2,580
Reaction score
8,147
Wazima wa afya? Natumain mmekula na kushiba Leo nawaletea pish ya dagaa na ugal chakula pendwa Cha waafrica
Hivi ni viungo vyangu dagaa ambao ni wale wasio na mchanga wa kavu nimewakaanga mwenyewe,nyanya ,kitunguu,chumvi,giligilan na beef cube nikakaanga vitunguu nikaweka giligilan zangu Kwa ambao hamjui giligilani ni kiungo Cha chakula kina harufu yake ya kipekee sana sisi huku kwetu tunapenda kuweka kwenye mboga ndizi nyama na hata pilau harufu yake ni murua hapo nimeweka kuondoa harufu ya shombo za dagaa nikaweka nyanya pamoja na chumvi nyanya zimekaribia kuiva nikaweka dagaa zangu nikaweka na beef cube nikaweka tui langu azam coconut nikaweka giligilan Kwa mara ingine karibuni
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…