dah pole sana
angalia bongo movie wapo serious
Ukiona mtu anamkosoa had john dep ujue kiwango chake cha uchakataj wa muvi ni kikubwa snaa...mi nishatoka level hyo ya kuangalia muvi kama mti wa kawaida..yaam kama wew unavyoangalia muvi...mi niko level ya kuangalia muvi za aina yake kutoka na uchambuz na uelewa
1.siangalii low budget movies
2.siangalia movie ambazo si za ma director wakubwa.naangalia za ma director na producers wenye tuzo kubwa kubwa.golden globe etc
3.siangalii movie outside hollywood....yaan labda ziwe chache sanaaa
4.siangalii movies zenye masihara na characters weus wasiojua actin kama kina kelvin hurt...naangalia ma konki tu kina denzel ,cuba goodings na kizaz kipya wanaojielewa
5.siangalii movies zenye subtitle
6.siangalii movies zilizosambazwa/distributed/produced nje ya makampun kama warner bros...sony...lions gate etc..
Kamaa series bas iwe HBO n the likes
Sasa ndo uangalie level yangu ya kuangalia muvi..actor akizingua tunasema...nenda kwenye hyo muv yako halaf angalia critics za watu wanamsema huyo john dep..ndo utaamin nachoongea
..
Wew ni kapuku tu kwenye ulimwengu wa muvi.s