Pindi utakapouona mwezi Mtukufu wa RAMADHAN

Pindi utakapouona mwezi Mtukufu wa RAMADHAN

mende 2014

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
763
Reaction score
131
Nakuusia umsujudie Allah sijda ya ukweli kumshukuru pamoja na kunyenyekea mambo manne.
1-Mshukuru Allah kwa kukufikisha mwezi mtukufu kwani wangapi hawakuushudia mwezi huo.
Allah kakuchagua wewe pamoja na kukukirimu kwa kuufikia mwezi huu mtukufu.kwa sababu akupenda,anataka kukusamehe,pamoja na kukuachia huru na moto......
2-Imma upande wa pili:
Muombe Allah akusaidie akuafikishe ktk kutenda mema,unayoyajua na usioyajua na akufanyie wepesi ktk kufanya mambo ya kheri.
3-Ni kushukuru neema kubwa iliokuzunguka ktk utulivu na amani,maji na chakula,ndg na jamaa,pia kumshukuru kwa kukupatia kivuli kwani nchi ngapi leo watamani utulivu hawana.
Alla hana uwezo wa kutufanyia na sisi kama alivyo wafanyia wao?
Kuwa mkweli pamoja na Allah...
4-Weka nia ya kua itakua ramadhani bora kwako wewe kwa kujitahidi zaidi na zaidi.
Usiikose fursa hii kubwa kwani tukiikosa sasa hatujui km tutaipata mwakani.
Kua na yakini ya kwamba Rab Rahim Alkarim atakulipa kwa lolote utakalo tenda!!
Allahumma ballighna ramadhan.
Najua uko online baada ya kusoma wasia huu tuma kwa unaempenda ili asikose kumsujudia Allah pindi atakapouona mwezi mtukufu wa ramadhani.
 
Mwezi wa ramadhani huwa ni shule ya kumfundisha mwanadamu kumcha muumba wake! Kumcha mungu ni kuacha maovu na kutenda yaliyo mema, Qurani inasema "Enyi mlioamini mmeamrishwa kufunga kama walivyoamrishwa waliokuwepo kabla yenu ili muwe wacha mungu" Mungu atujaalie tufikie hayo malengo ya funga ya mwez wa Ramadhan. Ramadhan kareem
 
Inshaallah aamin.
Mola atufikishe salama, atujaalie siha njema ili tuweze kumuabudu yeye.

"Mukhliswina lahu diina walahu kariha 'l' kaafirun."

Ijumaa kareem!
 
Mwezi wa ramadhani huwa ni shule ya kumfundisha mwanadamu kumcha muumba wake! Kumcha mungu ni kuacha maovu na kutenda yaliyo mema, Qurani inasema "Enyi mlioamini mmeamrishwa kufunga kama walivyoamrishwa waliokuwepo kabla yenu ili muwe wacha mungu" Mungu atujaalie tufikie hayo malengo ya funga ya mwez wa Ramadhan. Ramadhan kareem

Amina Yaarab
 
Jazzakallah kheir!
"leo ni shaaban 28, kwa taarifa tulizonazo na si kinyume chake" Khatib wa Ijumaa, Msikiti Mkuu Morogoro.
 
MAN SWAAMA IYMANA WAIHTISABA GHUFIRALAHU MAA TTAQADAMA MIN DHANMBIHI#
Allahu Maa Jaalna Minhum,
 
Mwezi wa ramadhani huwa ni shule ya kumfundisha mwanadamu kumcha muumba wake! Kumcha mungu ni kuacha maovu na kutenda yaliyo mema, Qurani inasema "Enyi mlioamini mmeamrishwa kufunga kama walivyoamrishwa waliokuwepo kabla yenu ili muwe wacha mungu" Mungu atujaalie tufikie hayo malengo ya funga ya mwez wa Ramadhan. Ramadhan kareem
YAA AYU HALADHIINA AAMANUU KUTIBA ALAYKUM SWIYAAMU KAMAA KUTIBA ALA LADHIINA MIN QABLIKUM LA ALAKUM TATAQUUNA.

asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom