PINDA: Ukiwa mkaidi usilalamike pale kichapo kitakapokufikia

CDM hawajanunua mtanzania yeyoye. Lakini mtu yeyote mwenye akili timamu anaona wapi CCM wanakoipeleka nchi yetu. Wanaipeleka kwene kufilisika, huku viongozi wajuu wachache wakijaza matumbo yao kwa ulafi. Njia pekee ya kuiokoa nchi yetu ni kwa kuing'oa CCM madarakani. Usifikiri utakuwa salama wewe na dini yako, kwa sababu mfa maji hutumia kila njia kutaka kujiokoa. Utapata uhuru wa kuabudu katika utawala wa haki unaoheshimu sheria na haki ya binadamu. Hivi haviko CCM, ndio maana unaona kila siku damu zinamwagika kuanzia Visiwani hadi Bara, huku watu wasio na hatia wakibambikiziwa kesi nzitonzito ili kuwanyamazisha, lakini siku zote haki itatawala dunia. Amka uupinge huu udhalimu. Kwa pamoja tutashinda.
 
Jambo la kushukuru aloongea ni Pinda,ni mkatoliki na amewaambia asilimia kubwa ya wakatoliki wemzie,,,,,,
kama angeongea mtu mwenye imani tofaut ya kidini na PINDA ,BASI INGEKUA DHAHAMA HUMU
 
Ndugu wanabodi,

Kipekee naunga Mkono hoja ya Mh. Pinda kwa asilimia kadhaa. Nasema hivi kwa kuwa taifa huru linapaswa Kuongozwa au Kutawaliwa.

Tanzania imeongozwa mda mrefu ndiyo Maana watu wameanza kuichezea hii tunu. Upole na ushauri wa Mambo ya Msingi umewapa viongozi wetu Majina Mpaka ya kuitwa Dhaifu.
Watu walifka Mbali zaidi na kusema ili nchi iende vizuri inataka Kiongozi Mwenye asili ya Udikiteta kama Dr. Slaa au Mh, Lowassa.

Umefika wakati watu wanafanya fujo Makusudi na tena wao wanakuwa wa kwanza kung'aka kwamba Serikali inawatesa na kutukanatukana tu.

Sasa naona Mh, Pinda anataka kudhirisha kwamba Serikali siyo dhaifu ila walikuwa wanatengeneza beam balance in order to stablelize the condition.

Naunga Mkono sheria yoyote ya polisi itakayo weza kutulidha adhaa hizi. Iwe ni Fimbo, virungu au selooooo. That is a good act to rule the country.
 
bora ametoa ruhusa, sasa tunataka polisi wafanye mambo yao. Kiga hawa wafanya fujo mpaka wasahau nyumbani ni wapi.

Na wananchi wakiamua kujibu mapigo itakuwaje? Tusisahau Tanzania yetu hakuna anayefuata sheria hasa wakubwa. Siku wanyonge watakaposema basi hakuna atakayepona hata Pinda mwenyewe.

Yule mtu aliyetupa bomu Arusha angepatikana kiurahisi kama Polisi wangetulia na kufuata maadili ya kazi.
 
Viongozi CCM waliopo ndani ya serikali pamoja na makada wote wataendelea kunena kwa lugha hadi mnara wa babeli utakaposambaratika!!
 
Uzuri wa madaraka ni leo raha kwako kesho nawe wewe unatii mamlaka,Pinda ampigie simu na amuulize Banda,Chiluba walichokipata baada ya kutoka madarakani!Nakionea huruma MTOTO WA MKULIMA,JK atakuwa zake Uarabuni!
 
Maana ya hii ni kuwa hakuna tena utawala wa sheria Tanzania. sheria walizotunga hazifanyi kazi au kuna watu wako juu ya sheria na mmojawapo ni Pinda. Tumsikilize JK kama atakemea kauli ya kukosa utawala wa sheria ya mteule wake
 
Leo tar 20 waziri mkuu PINDA aruhusu vyombo vya dola kutumia nguvu kukabiliana na raia. Karuhusu kuwapiga wanapoleta shida. Hivi Polisi wanaruhusiwa kupiga raia wanapowakamata?Kisheria

huyu mfipa mwenzangu nashindwa kuelewa hiyo sheria alisomea wapi na aliielewa kwa kiwango gani maana amekuwa akitoa kauli kinyume kabisa na utawala wa sheria
 
Jambo la kushukuru aloongea ni Pinda,ni mkatoliki na amewaambia asilimia kubwa ya wakatoliki wemzie,,,,,,
kama angeongea mtu mwenye imani tofaut ya kidini na PINDA ,BASI INGEKUA DHAHAMA HUMU

Mkuu, miaka yako ya kuishi hapa duniani iliyosalia itumie kujifunza mantiki, vingenevyo utakuwa binadamu wa hovyo kabisa
 
Amepanic,hao watoto waliouawawa wana kosa gan? Hafai,anarhusu mauji ya watu kwa kuwa ndio wenye dola.Yeye na jk wake the Hague inawangoja
 
amelewa uongozi - tena mnafiki. Tuinajua yaliyotokea Arusha serikali nzim ilkuwa inajua na ndiyo iliyoratibu kila kitu we sema target haikufikiwa kwani ilikuwa wawaue wakaidi Mbowe na Lema......... kama ukiinyumbulisha hii kauli ya PM utayaona yote haya. Atakaye chinja kwa upanga naye atakufa kwa upanga.

PINDA usibweteke na huo uwaziri ukuu..... hiyo ni dhamana tu. Ungekuwa ni wanao wameuawa usingetoa kauli za kijeuri namna hiyo. Siku mabomu yalipolipuka huko temeke yakatibua nyumba yako ambayo ndugu zako ndo waliokuwa wakiishi tunafahamu ulivyohangaika kuwanusuru tena kwa gharama za umma. Yote yana mwisho na mwisho ukaribu mno.
 
Mtu akivunja sheria sio Police, wala mtu yeyote yule ana Mamlaka ya kutoa adhabu, isipokuwa Mh. Hakimu akijiridhisha kweli kwamba sheria ilivunjwa na tena hua ni Mahakamani...! Sasa kauli ya Mh Mizengwe Pinda inaonyesha jinsi gani viongozi wetu walivokuwa ma mbumbumbu na VILAZA wa kutupwa...!na nawasiwasi wa G.P.A alonayo huyu bwana inawezekana ana Gentleman Degree huyu...!Haya ndo matatizo tunayoyapata watu wenye akili kubwa kama ya kwangu kutawaliwa na Akili ndogo kama ya Mizengwe Pinda...! na G.P.A yangu nauhakika 100% ni kubwa kuliko ya huyu Poyoyo huyu...! Shameless shit..!
 
Mwenye Akili ndogo ndiye ataunga mkono HOJA ya waziri mkuu,kikatiba na sheria haziruhusu watu kupigwa ovyo ovyo ndiyo maana tuna Mahakama ambazo zinamhukumu anayevunja sheria na siyo kuruhusu Polisi kupiga watu eti kwa sababu tu wamevunja sheria.
Mambo kama haya ya kukiuka sheria ndiyo yanayolifanya Jeshi letu la Polisi likose uhalali wa kulinda wananchi na mali zao na hivyo kulifanya liwe adui wa wananchi kitu ambacho si kizuri katika nchi yetu mimi ningeliwaomba sana serikali ifuate sheria na si kukiuka maadili ya ki-Polisi sasa kama mambo ndo hayo ya kupiga watu ovyo kuna tofauti gani kati ya polisi wa leo na wa Mkoloni???????Mambo kama haya yakiruhusiwa kuendelea basi baada ya miaka fulani Mtakuja Juta kwa nini hamkuweka PR nzuri na Wananchi.
 
huyu mfipa mwenzangu nashindwa kuelewa hiyo sheria alisomea wapi na aliielewa kwa kiwango gani maana amekuwa akitoa kauli kinyume kabisa na utawala wa sheria

Tatizo kwangu siyo kauli ya Waziri Mkuu,

Tatizo liko kwenye kuropoka. Namshukuru sana mbunge aliyeuliza swali lililomfanya waziri mkuu aropoke. Wakati mwingine majibu ya kuropoka huwasilisha mtazamo halisi wa mzungumzaji na watu anaowawakilisha. Kwa hiyo hilo ni tamko la serikali, serikali ya chama tawala cha CCM.
 
Eh kweli cdm mmepandikiza vijana wengi kuandika kwenye mitandao ya kijamii kwa malipo (baadhi yao nawafahamu ni rafiki zangu-ajira safi). Acha ccm na wengine waendelee kulala usingizi wa pono. Mmebaini ukweli kuwa mitandao ya kijamii inalipa kwelikweli kisiasa kwa kuwa inalenga vijana wasomi wa .com ambao ni wengi na effectve. Ccm haina habari ghadafi na viongozi wengine hususan wa middle east walivyong'olewaje madarakani. Ni kutokana na vuguvugu zilizoanzia kwenye mitandao ya kijamii. Cdm wamegundua hilo ndo maana wame-plant vijana wengi kutwa wanashinda kwenye internet waki-post andiko ya kuishabikia cdm na kuikandia ccm na vyama vingine. Kweli umakini ccm umekwisha. Wamechoka kabisa. Sijui wana ajenda gani ya kuendelea madarakani uchaguzi ujao maana cdm hawakamatiki kwa mtaji huu. Nchemba alie tu!!! Ni uzembe wao wakutong'amua. Mimi binafsi nawaombeni cdm na ccm wasihusihusishe dini zetu takatifu katika mitego yao ya kisiasa. Wakae mbali kabisa na nyumba zetu za kuabudia na viongozi wetu wa dini. Uchafu wenu wa kisiasa uishie mitaani tafadhali. Fanyeni vurugu zozote lakini mlinde dini zetu (na viongoziwake) msizipake matope ya kisiasa. Siasa ni mchezo mchafu isiwe karibu na dini zetu.
Chama pekee chenye sifa ya kuhonga kofia,t-shirt,kanga+vitenge,kukodisha magari na kutoa watu kutoka mkoa1 kwenda mwingine na kila registered member ndani ya Lumumba 7000 per day....,ukiangali vijana wengi waliopo ccm wanywa gongo,maisha yao fulsuti wamekomaa hao kama mgonga zege,ukiwaona kwenye mitandao basi wanatumia desktop za lumumba jicho1 chezea njaa...
 
Ndugu wanabodi,

Kipekee naunga Mkono hoja ya Mh. Pinda kwa asilimia kadhaa. Nasema hivi kwa kuwa taifa huru linapaswa Kuongozwa au Kutawaliwa.

Tanzania imeongozwa mda mrefu ndiyo Maana watu wameanza kuichezea hii tunu. Upole na ushauri wa Mambo ya Msingi umewapa viongozi wetu Majina Mpaka ya kuitwa Dhaifu.
Watu walifka Mbali zaidi na kusema ili nchi iende vizuri inataka Kiongozi Mwenye asili ya Udikiteta kama Dr. Slaa au Mh, Lowassa.

Umefika wakati watu wanafanya fujo Makusudi na tena wao wanakuwa wa kwanza kung'aka kwamba Serikali inawatesa na kutukanatukana tu.

Sasa naona Mh, Pinda anataka kudhirisha kwamba Serikali siyo dhaifu ila walikuwa wanatengeneza beam balance in order to stablelize the condition.

Naunga Mkono sheria yoyote ya polisi itakayo weza kutulidha adhaa hizi. Iwe ni Fimbo, virungu au selooooo. That is a good act to rule the country.

Kichaa kumuunga mkono mwehu sio jambo la ajabu.
 
Namshukuru sana Pinda kwa kututangazia RASMI uadui na Polisi,sasa naomba afute kabisa polis jamii kwa sababu kinachofuata ni kunyonga kimya kimya,polis atakae cross angle mbaya taratibu tunarudisha roho yake ilikotoka,na napenda kuwahasa wale polis waliopanga MTAANI warudi kwenye mahema yao kambini kwani sasa ni hali ya hatari mmoja baada ya mwingine...HAKUNA KUTOA USHIRIKIANO NA POLIS TENA
 
Back
Top Bottom