Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,068
- 2,225
hivi majuzi tulisikia serikali ikituambia kuwa swala lake na madaktari limeshindikana kutatuliwa kwa njia ya mazungumzo na hivyo serikali kuamua kulipeleka mahakamani na hatimaye mahakama ikatoa uamuzi kuwa mgomo usitishwe.
jana tulisikia ahadi ya waziri mkuu kuwa liwalo na liwe na leo ameahidi kutoa msimamo wa serikali dhidi ya mgomo wa madaktari..sasa najiuliza kama swala hili liko mahakamani iweje Pinda alisemee na sio mahakama?
jana tulisikia ahadi ya waziri mkuu kuwa liwalo na liwe na leo ameahidi kutoa msimamo wa serikali dhidi ya mgomo wa madaktari..sasa najiuliza kama swala hili liko mahakamani iweje Pinda alisemee na sio mahakama?