Pinda ni kiongozi dhaifu maradufu

Pinda ni kiongozi dhaifu maradufu

WamLola

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
343
Reaction score
122
Kwa namna watendaji wa serikali wanavyojifanyia maamuzi ya hovyo mpaka baadhi yao wanachota mabilioni kwenye magunia imedhihirika kuwa ndg Pinda kaonyesha si tu uwezo mdogo wa kujua Bali udhaifu maradufu.

Pinda tangu anateuliwa hajawahi kumwajibisha mtu yeyote wala kutoa onyo wala kalipio wala katazo lolote kwa kinywa chake au dhati ya moyo wake.

Pinda hajawahi hata kuandika barua ya kuwawajibisha Wakurugenzi ambao wamejaza kwenye makabati hati chafu na zenye Mashaka ya kutisha.Pinda yuko kimyaa utadhani Tamisemi hakuna uozo .

Pinda walio chini yake wanajiandikia perdiem na kusafiri na kufunga mikataba nje ya Nchi, Pinda amekalia kampeni ya Kufuga nyuki. Hajui kinachoendelea.

Pinda amekalia maamuzi ya Operation Tokomeza bila kujali waliothirika wana hali gani Leo na hawajalipwa Fidia yenye yuko tu anasubilia aandikiwe na Akina Mhongo. Udhaifu uliopitiliza.

Pinda kwake yeye ni mwiko hata kutembelea wilayani kujionea ujenzi wa Maabara na wananchi wananyanyaswa na michango ya Elfu tano, Yeye ameweka "mwiko" mpya kuwa ni MWIKO siku ipite bila kulamba kijiko cha asali. What a poor thinking Prime Minister!!

Pinda hata kujibu Maswali ya serikali amekuwa akibahatisha, Alhamis Maswali ya papo kwa hapo majibu yake yamekuwa "Asante tutaangalia namna ya kufanya" baada ya hapo kafanya nini work done is equal to zero.

Pinda ni dhaifu kuliko udhaifu wenyewe kwani kwa hili la Escrow Account na maelezo yake amejidhalilisha na kuweka wazi kuwa ni dhaifu maradufu.

Wazee wa Sumbawanga na Katavi mshauri huyu Mzee akipona hapa aende akamsaidie Bibi Tunu kulea Vitukuu.
 
Ni mmoja wa watuhumiwa wa escrow kabebwa funika Kombe mwanaharamu apite, amejipunguzia heshima kwa taifa alipaswa kuachia ngazi, uwezo wake wa kiutendaji mdogo sana.
 
Kwa namna watendaji wa serikali wanavyojifanyia maamuzi ya hovyo mpaka baadhi yao wanachota mabilioni kwenye magunia imedhihirika kuwa ndg Pinda kaonyesha si tu uwezo mdogo wa kujua Bali udhaifu maradufu.

Pinda tangu anateuliwa hajawahi kumwajibisha mtu yeyote wala kutoa onyo wala kalipio wala katazo lolote kwa kinywa chake au dhati ya moyo wake.

Pinda hajawahi hata kuandika barua ya kuwawajibisha Wakurugenzi ambao wamejaza kwenye makabati hati chafu na zenye Mashaka ya kutisha.Pinda yuko kimyaa utadhani Tamisemi hakuna uozo .

Pinda walio chini yake wanajiandikia perdiem na kusafiri na kufunga mikataba nje ya Nchi, Pinda amekalia kampeni ya Kufuga nyuki. Hajui kinachoendelea.

Pinda amekalia maamuzi ya Operation Tokomeza bila kujali waliothirika wana hali gani Leo na hawajalipwa Fidia yenye yuko tu anasubilia aandikiwe na Akina Mhongo. Udhaifu uliopitiliza.

Pinda kwake yeye ni mwiko hata kutembelea wilayani kujionea ujenzi wa Maabara na wananchi wananyanyaswa na michango ya Elfu tano, Yeye ameweka "mwiko" mpya kuwa ni MWIKO siku ipite bila kulamba kijiko cha asali. What a poor thinking Prime Minister!!

Pinda hata kujibu Maswali ya serikali amekuwa akibahatisha, Alhamis Maswali ya papo kwa hapo majibu yake yamekuwa "Asante tutaangalia namna ya kufanya" baada ya hapo kafanya nini work done is equal to zero.

Pinda ni dhaifu kuliko udhaifu wenyewe kwani kwa hili la Escrow Account na maelezo yake amejidhalilisha na kuweka wazi kuwa ni dhaifu maradufu.

Wazee wa Sumbawanga na Katavi mshauri huyu Mzee akipona hapa aende akamsaidie Bibi Tunu kulea Vitukuu.
SIYO TUU DHAFU BALI NI GOGOVIVU !! Hawa walikuwa wakomunisti walioandaliwa kutawala nchi kikomunisti. Hivyo wakat huu wa demokrasia ya kweli hawajui kbisaa wawaambie nini wananchi wala nini cha kufanya ili kujenga nchi. wewe chunguza mwenzake Mkama aliyekuwa katibu mkuu wa CCM. Yaani kaingia madarkani na kuondolewa bila hata ya kuongea kitu ch maana na wanachi!
 
Pinda analindwa na mfumo wa kifisadi ndani ya ccm, wabunge walipaswa kumfukuza kazi mara moja, badala ya kuwatimua kina muhongo tu!
 
SIYO TUU DHAFU BALI NI GOGOVIVU !! Hawa walikuwa wakomunisti walioandaliwa kutawala nchi kikomunisti. Hivyo wakat huu wa demokrasia ya kweli hawajui kbisaa wawaambie nini wananchi wala nini cha kufanya ili kujenga nchi. wewe chunguza mwenzake Mkama aliyekuwa katibu mkuu wa CCM. Yaani kaingia madarkani na kuondolewa bila hata ya kuongea kitu ch maana na wanachi!
Huu msamiati mpya, Gogovivu wakati snaitwa mtoto wa Mkulima.
 
Muweke baba yako awe waziri mkuu basi pengine ni super.. na kama ni super siju kwanini analima nyanya huko aliko..
Ni fikra fupi kama nyusi kwakua pamoja na mabaya yake uliyosema yapo mazuri mengi mengi sana kafanya kwenye nchi hii bahati mbaya wewe hujayaona.. tumezoea wendawazimu wanahukumua mabaya wakiacha mazuri ambayo ni mengi.. si mbaya tunaomba na mazuri yake basi nayo uyaweke hapa. Kama huyaoni basi tembelea milembe utapata ushauri mzuri tu uwe timamu.
 
Muweke baba yako awe waziri mkuu basi pengine ni super.. na kama ni super siju kwanini analima nyanya huko aliko..
Ni fikra fupi kama nyusi kwakua pamoja na mabaya yake uliyosema yapo mazuri mengi mengi sana kafanya kwenye nchi hii bahati mbaya wewe hujayaona.. tumezoea wendawazimu wanahukumua mabaya wakiacha mazuri ambayo ni mengi.. si mbaya tunaomba na mazuri yake basi nayo uyaweke hapa. Kama huyaoni basi tembelea milembe utapata ushauri mzuri tu uwe timamu.

Tutajie mazuri kumi kati ya mengi tusiyo yaona.
 
Mbaya ni yule aliyerudi juzi kutibiwa kanasa
. Pinda angekuwa na mamlaka kamili mgeona vipigo. Angekuwa anacharazs bakora mpaka mawazir maana ana philosophy za mwalimu. Mpeni nchi muone. Ikulu pale patakuwa na chumba cha kuhifadhi bakora. Lakn kwa sasa mzee wa tezi dume anaingilia sana maamuzi ya mzee wa nyuki wa asali
 
WamLola, umesema na umetumia lugha nzuri. mtu huyu ni dhaifu, bahati mbaya sana nadhani hata aliyemteua kua msaidizi wake anajuta. lakini pia hata wabunge wetu waliunga mkono uteuzi wake kwa 95% sasa tatizo ni kujaza viongozi wastaafu lakini vinginevyo angeondoka.
swala lake la kimya kimya tafadhali aachane nalo.
hatutaki
 
Kwa namna watendaji wa serikali wanavyojifanyia maamuzi ya hovyo mpaka baadhi yao wanachota mabilioni kwenye magunia imedhihirika kuwa ndg Pinda kaonyesha si tu uwezo mdogo wa kujua Bali udhaifu maradufu.

Pinda tangu anateuliwa hajawahi kumwajibisha mtu yeyote wala kutoa onyo wala kalipio wala katazo lolote kwa kinywa chake au dhati ya moyo wake.

Pinda hajawahi hata kuandika barua ya kuwawajibisha Wakurugenzi ambao wamejaza kwenye makabati hati chafu na zenye Mashaka ya kutisha.Pinda yuko kimyaa utadhani Tamisemi hakuna uozo .

Pinda walio chini yake wanajiandikia perdiem na kusafiri na kufunga mikataba nje ya Nchi, Pinda amekalia kampeni ya Kufuga nyuki. Hajui kinachoendelea.

Pinda amekalia maamuzi ya Operation Tokomeza bila kujali waliothirika wana hali gani Leo na hawajalipwa Fidia yenye yuko tu anasubilia aandikiwe na Akina Mhongo. Udhaifu uliopitiliza.

Pinda kwake yeye ni mwiko hata kutembelea wilayani kujionea ujenzi wa Maabara na wananchi wananyanyaswa na michango ya Elfu tano, Yeye ameweka "mwiko" mpya kuwa ni MWIKO siku ipite bila kulamba kijiko cha asali. What a poor thinking Prime Minister!!

Pinda hata kujibu Maswali ya serikali amekuwa akibahatisha, Alhamis Maswali ya papo kwa hapo majibu yake yamekuwa "Asante tutaangalia namna ya kufanya" baada ya hapo kafanya nini work done is equal to zero.

Pinda ni dhaifu kuliko udhaifu wenyewe kwani kwa hili la Escrow Account na maelezo yake amejidhalilisha na kuweka wazi kuwa ni dhaifu maradufu.

Wazee wa Sumbawanga na Katavi mshauri huyu Mzee akipona hapa aende akamsaidie Bibi Tunu kulea Vitukuu.

URAHISI NI RAHISI ..

KWENYE HALI YA UTENDAJI MBOVU ...MAWAZIRI WAMEBADILISHWA MARA TATU CHINI YAKE ...

KAPOKEA MGAWO DOLA MILIONI 5 ESCROW NA ANAYEMSHIKIA HIZO PESA ..PCCB WANAMJUWA WAMEMSITIRI ( na Jamaa atakujakumdhulumu) ...... ANAGAWA KAZI KIFISADI KWA KINA JANET MASABURI ........NA KUNA VIBALI VYA SUKARI VINATOKA HUKU VIWANDA VIPO HOI ....

KILA MARA MAWAZIRI WANAONDOLEWA KUMNUSURU WAZIRI MKUU ....LEO HADI EZEKIEL MAIGE ANALALAMIKA ...ANASEMA ANAPONGEZA BUNGE ANGALAU HAWA WAMESIKILIZWA ...LAKINI BUNGE LIMEWAJIBISHA "baadhi tu " YA WALIOTUHUMIWA .......
 
Muweke baba yako awe waziri mkuu basi pengine ni super.. na kama ni super siju kwanini analima nyanya huko aliko..
Ni fikra fupi kama nyusi kwakua pamoja na mabaya yake uliyosema yapo mazuri mengi mengi sana kafanya kwenye nchi hii bahati mbaya wewe hujayaona.. tumezoea wendawazimu wanahukumua mabaya wakiacha mazuri ambayo ni mengi.. si mbaya tunaomba na mazuri yake basi nayo uyaweke hapa. Kama huyaoni basi tembelea milembe utapata ushauri mzuri tu uwe timamu.

Jinga kama Pinda!!!



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mbaya ni yule aliyerudi juzi kutibiwa kanasa
. Pinda angekuwa na mamlaka kamili mgeona vipigo. Angekuwa anacharazs bakora mpaka mawazir maana ana philosophy za mwalimu. Mpeni nchi muone. Ikulu pale patakuwa na chumba cha kuhifadhi bakora. Lakn kwa sasa mzee wa tezi dume anaingilia sana maamuzi ya mzee wa nyuki wa asali

Sokoine alipata wapi madaraka kamili? Hatutaki kufanyiwa majaribio,Pinda kashindwa uwaziri mkuu atauweza Urais?
 
Back
Top Bottom