Pinda ni kiongozi dhaifu maradufu

Pinda ni kiongozi dhaifu maradufu

Pinda anaingia kwenye historia kama waziri mkuu aliyejaribiwa kuvuliwa madaraka mara mbili!
 
Pinda ni zaid ya kiongoz dhaifu akiwa raisi wanyonge tukaniona cha mtema kuni. Hafai kuwa kiongozi hata kidogo bora hata lowasa mara 10 elfu
 
URAHISI NI RAHISI ..

KWENYE HALI YA UTENDAJI MBOVU ...MAWAZIRI WAMEBADILISHWA MARA TATU CHINI YAKE ...

KAPOKEA MGAWO DOLA MILIONI 5 ESCROW NA ANAYEMSHIKIA HIZO PESA ..PCCB WANAMJUWA WAMEMSITIRI ( na Jamaa atakujakumdhulumu) ...... ANAGAWA KAZI KIFISADI KWA KINA JANET MASABURI ........NA KUNA VIBALI VYA SUKARI VINATOKA HUKU VIWANDA VIPO HOI ....

KILA MARA MAWAZIRI WANAONDOLEWA KUMNUSURU WAZIRI MKUU ....LEO HADI EZEKIEL MAIGE ANALALAMIKA ...ANASEMA ANAPONGEZA BUNGE ANGALAU HAWA WAMESIKILIZWA ...LAKINI BUNGE LIMEWAJIBISHA "baadhi tu " YA WALIOTUHUMIWA .......
Pole sana Pinda hakiika ni vyema ukapumzika.
 
SIYO TUU DHAFU BALI NI GOGOVIVU !! Hawa walikuwa wakomunisti walioandaliwa kutawala nchi kikomunisti. Hivyo wakat huu wa demokrasia ya kweli hawajui kbisaa wawaambie nini wananchi wala nini cha kufanya ili kujenga nchi. wewe chunguza mwenzake Mkama aliyekuwa katibu mkuu wa CCM. Yaani kaingia madarkani na kuondolewa bila hata ya kuongea kitu ch maana na wanachi!

Yaani nyie mtakoma subirini
 
Kakudanganya nani kuwa Pinda si Mwizi? Billioni 8 za ESCROW alizolamba zilikuwa za mamako? No wonder yeye Kapinda wewe unaYumba!!! Viroba kwa kwenda mbele... Grrrrrrrrrrrrrrr... Huna adabu kumtetea Non performer Pinda... PINDA mkubwa Weee !!! Grrrrrrrrrrrrrr ...

Afadhali Pinda kuliko huyo mwizi wenu.
 
Back
Top Bottom