Kwani tpdc inashughulikia gesi peke yake hadi makao makuu yajengwe mtwara ?? Naomba uniweke sawa katika hili,na je itakuwaje pale gesi itavumbuliwa eneo jingine katika tanzania na ikawa na ujazo mkubwa kuzidi hii ya mtwara,status ya tpdc itakuwaje?? Naomba kufahamishwa vizuri.