PINDA: Kanuni za bunge zirekebishwe

Magesi

JF-Expert Member
Jul 10, 2012
2,587
573
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema haina budi sasa Kanuni za bunge zirekebishwe ili kuepuka Wabunge kutoka Nje ameyasema muda huu.

===========================================

Anaendelea kuchangia hivi sasa huku akionyesha kukerwa sana na wabunge wa upinzani amesema wabunge hao hususia vikao wanapoona wameshindwa hoja, wanazidiwa hoja, hawana pa kutokea.. Akasema kuhusu susla la balozi wao kama serikali wamelichukua na watatoa maelekezo. Aidha hatua za kidiplomasia zitachukuliwa pia.

Aidha amewataka wabunge pindi wakiwa na ushahidi wa jambo wawasilishe kwa spika badala ya kuishia kutuhumu barabarani au kwa maneno tu.
 
Anaendelea kuchangia hivi sasa huku akionyesha kukerwa sana na wabunge wa upinzani amesema wabunge hao hususia vikao wanapoona wameshindwa hoja, wanazidiwa hoja, hawana pa kutokea.. Akasema kuhusu susla la balozi wao kama serikali wamelichukua na watatoa maelekezo. Aidha hatua za kidiplomasia zitachukuliwa pia.

Aidha amewataka wabunge pindi wakiwa na ushahidi wa jambo wawasilishe kwa spika badala ya kuishia kutuhumu barabarani au kwa maneno tu.
 
Pinda hupenda sana hoja za wapinzani kwa kuwa zinawasidia kujirekebisha.
 
Angekemea na wabunge wa CCM kuwatukana ,kuwakshifu na kuwadhalilisha wapinzani kila mara,akikemea na bunge likaendeshwa kwa usawa na haki basi sidhani kama wapinzani watasusia bunge!Vinginevyo trend yakususia itaendelea mpaka chama tawala kione umuhimu wa kutenganisha,serikali na bunge.
 
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema haina budi sasa Kanuni za bunge zirekebishwe ili kuepuka Wabunge kutoka Nje ameyasema muda huu.

===========================================

Itakuwa ni kanuni ya kijinga kuwahi kupitishwa na bunge bovu la Tanzania, tena kwa kushariwa na kiongozi mwandamizi wa serikali.

Na sidhani kama anadhani hiyo itawasaidia nini, kwani wanaotoka nje, wanatoka kupinga kuendelea kushiriki kutoa maamuzi ya ovyo, na wanapinga kuendelea kupuuzwa, na wanapinga kuendelea kudharauliwa. Sidhani kama yeye anadhani (kwa kadri ya ufahamu wa akili zake ) kuwa kuna mtu mwenye haki ya kumlazimisha mtu kufanya maamuzi asiyoyataka. Na huu nao ni mwendelezo wa ule ugonjwa anaouguwa Pinda wa kutoa kauli zinazoonyesha kulewa madaraka na kuchukulia bunge na nchi ni mali ya CCM na hivyo kudhani wana haki na sababu za kufanya wanavyotaka wao. Na ni ulevi huu utakaowagharimu siku za usoni.
 
Atoe amri wapigwe mabomu. Si alisema tupigwe tu. Hana hoja serikali yake inakumbatia mafisadi. Mwogope Mungu mheshimiwa PM.
 
Pinda ni waziri mkuu mpu.mba.vu kuwa kutokea Tanzania,Afrika Mashariki na Kati,yaani yeye furaha yake ni pale wabunge wa ccm wapoikingia kifua serikali,shenzi kabisa.
 
...PIGA TU.....! Serikali haijamtesa Ulimboka! ..... Natamani Nimshughulikie Jairo sasa hivi, nasubiri tu mamlaka ya uteuzi.... Zanzibar siyo Nchi......
 
Back
Top Bottom