Spika Tulia Ackson akataa kuahirisha Bunge ili kujadili Panya Road

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,374
8,108
Akijibu hoja ya Wabunge Bahati Ndingo na Bonnah Kamoli, waliosimama kutaka Shughuli za Bunge ziahirishwe ilikujadili uhalifu wa vikundi hivyo kwa dharula, Spika wa Bunge amesema Kanuni za Bunge haziruhusu.

Dkt. Tulia amesema kwa mujibu wa masharti ya Kanuni ya 55 ya Bunge suala hilo linarudishwa Serikalini ili kushughulikiwa kwa utaratibu wa kawaida lakini kwa namna suala hilo lilivyoathiri maisha ya watu, Bunge linaitaka Serikali kushughulikia suala hilo kwa haraka.

Aidha amemuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu George Simbachawene kulibeba jambo hilo kwa uzito na kulishughulikia kwa hatua ambazo Bunge linazitarajia.

 
Wabunge watoke nje kama wapo serious na maisha ya watu hivyo tu atajua hajui
 
Akijibu hoja ya Wabunge Bahati Ndingo na Bonnah Kamoli, waliosimama kutaka Shughuli za Bunge ziahirishwe ilikujadili uhalifu wa vikundi hivyo kwa dharula, Spika wa Bunge amesema Kanuni za Bunge haziruhusu.

Dkt. Tulia amesema kwa mujibu wa masharti ya Kanuni ya 55 ya Bunge suala hilo linarudishwa Serikalini ili kushughulikiwa kwa utaratibu wa kawaida lakini kwa namna suala hilo lilivyoathiri maisha ya watu, Bunge linaitaka Serikali kushughulikia suala hilo kwa haraka.

Aidha amemuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu George Simbachawene kulibeba jambo hilo kwa uzito na kulishughulikia kwa hatua ambazo Bunge linazitarajia.



Kamanda wa panya road ni mwigulu Nchemba !
 
Hao panyaroad sasa inabdi wageuze direction ya mashambulizi yao
Wakipiga huko labda titaelewana

Ova
 
Akijibu hoja ya Wabunge Bahati Ndingo na Bonnah Kamoli, waliosimama kutaka Shughuli za Bunge ziahirishwe ilikujadili uhalifu wa vikundi hivyo kwa dharula, Spika wa Bunge amesema Kanuni za Bunge haziruhusu.

Dkt. Tulia amesema kwa mujibu wa masharti ya Kanuni ya 55 ya Bunge suala hilo linarudishwa Serikalini ili kushughulikiwa kwa utaratibu wa kawaida lakini kwa namna suala hilo lilivyoathiri maisha ya watu, Bunge linaitaka Serikali kushughulikia suala hilo kwa haraka.

Aidha amemuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu George Simbachawene kulibeba jambo hilo kwa uzito na kulishughulikia kwa hatua ambazo Bunge linazitarajia.

Bunge kumbe limeanza vikao
 
Akijibu hoja ya Wabunge Bahati Ndingo na Bonnah Kamoli, waliosimama kutaka Shughuli za Bunge ziahirishwe ilikujadili uhalifu wa vikundi hivyo kwa dharula, Spika wa Bunge amesema Kanuni za Bunge haziruhusu.

Dkt. Tulia amesema kwa mujibu wa masharti ya Kanuni ya 55 ya Bunge suala hilo linarudishwa Serikalini ili kushughulikiwa kwa utaratibu wa kawaida lakini kwa namna suala hilo lilivyoathiri maisha ya watu, Bunge linaitaka Serikali kushughulikia suala hilo kwa haraka.

Aidha amemuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu George Simbachawene kulibeba jambo hilo kwa uzito na kulishughulikia kwa hatua ambazo Bunge linazitarajia.


Naunga mkono.
 
Hilo ni jukumu la Polisi
Police ni chombo cha Serikali ambacho kipo chini ya utawala wa CCM, na Wabunge wote ni wa CCM ambo ni wawakilishi wa wananchi na wasimamizi wakuu wa shughuli za Serikali, na sisi ambao hawa Panya road wamezagaa mitaani kwetu ni wananchi, jukumu la kuwasaka ni la Police ambao wanatakiwa wapewe amri na Bunge ambalo ni la CCM chama kinachoongoza Serikali ambayo ni ya CCM. Sasa kwa nini Spika anazuia.

Spika kakosea. :D:D
 
Akijibu hoja ya Wabunge Bahati Ndingo na Bonnah Kamoli, waliosimama kutaka Shughuli za Bunge ziahirishwe ilikujadili uhalifu wa vikundi hivyo kwa dharula, Spika wa Bunge amesema Kanuni za Bunge haziruhusu.

Dkt. Tulia amesema kwa mujibu wa masharti ya Kanuni ya 55 ya Bunge suala hilo linarudishwa Serikalini ili kushughulikiwa kwa utaratibu wa kawaida lakini kwa namna suala hilo lilivyoathiri maisha ya watu, Bunge linaitaka Serikali kushughulikia suala hilo kwa haraka.

Aidha amemuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu George Simbachawene kulibeba jambo hilo kwa uzito na kulishughulikia kwa hatua ambazo Bunge linazitarajia.


Kwangu mimi "panya road" (umachinga wa kupora mali) ni matokeo ya sera na mikakati ya kiuchumi.

Japo wapo WanaJF ukitaja Rais wa Awamu ya Tano unabebeshwa gunia la matusi, lakini ukweli unabaki kuwa msimamo wake kuhusu wafanya biashara ndogondogo, aka Machinga, uliwapa fursa vijana wasio na kazi ya kuajiriwa kufanya biashara ndogondogo wakaachana na "upanya road".

Serikali iliyoko madarakani, pamoja na nia njema ya kuweka utaratibu mzuri wa biashara ndogondogo, utekelezaji wa kuwaondoa barabarani umechukuliwa mapema kabla ya kuweka mazingira rafiki.

Niliwahi kushauri kuwa Halmashauri, kwa kushirikiana na VETA, kujengwe vibanda vya biashara kwenye maeneo ya mikusanyiko ya watu (km maegesho ya magari, vituo vya mabasi, masokoni, nk) na/au kutengenezwe vibanda vya kuhamishwa. Vibanda hivi viuzwe kwa Machinga kwa mkopo. Pamoja na kuweka miji safi, itawapa fursa ya kipato, wafanya biashara ndogondogo, ambao soko lao ni watu katika maeneo yao ya kazi. Hata Mama Ntilie wanaweza kutengezewa vibanda vya kuhamishwa na kukopeshwa vifaa vya kuhifadhi vyakula vyao visipoteze ubora wake.

Utawala wa Awamu ya Sita ulishutumiwa kwa kuwepo kundi la watu wasiojulikana. Hili kundi lililenga aina fulani ya watu katika jamii. Lakini kuwepo kwa "panya road" katika jamii imedhirika sasa athari zake ni kubwa sana maana wanavamia watu wa kipato cha chini. Hawathubutu kufanya maeneo ya wenye nacho au Viongozi Wakuu wa Serikali na Vyama vya Siasa.
 
Panya roads ni matokeo ya high rate ya unemployment na poverty, sio rocket science kutambua hilo, watanzania mazuzu wao wamezoea kila kitu ni kusuluhisha kwa nguvu za dola, hapa police hawana chochote wanachoweza saidia, tunahitaji political will sio mabavu ya police
 

Attachments

  • VID-20220915-WA0020.mp4
    1.8 MB
Back
Top Bottom