Kwa kweli ni muhimu sana jukwaa hili likatenga uzi maalum kujadili 'uongo' wa waziri mkuu, maana askofu hakufariki muda huo aliosema waziri mkuu. Naomba CDM iandae maandamano ya nchi nzima kuonesha hili ili nchi yetu izidi kusonga mbele...pipooooooooozzzz