Siju nimekunywa ngapi... mpaka mhudumu aniletee bill... Na hapo ndipo wanaponipiga bao hawa wafanyakazi bora wa bar wasiojua kusema NO ukiwaomba papuchiHahahaha...umekunywa ngapi kwani?? Ukilaza nakataa...nakusoma sana hapa.
Hahaha ndo nimemuona konokono wako[emoji16][emoji16][emoji16]Kweli angalia vizuri kama konokono[emoji23] [emoji23]
Asante sana mwaya... ngoja nami niwapate wanywaji wenzangu...Yaaani ngoja nimchoreeView attachment 772835
Sasa kwanini hao wanagoma na bili wanaongeza??Siju nimekunywa ngapi... mpaka mhudumu aniletee bill... Na hapo ndipo wanaponipiga bao hawa wafanyakazi bora wa bar wasiojua kusema NO ukiwaomba papuchi
Hapo ndipo nilipoingia chaka na mimi...Hiyo kofia ya huyo mtu niliona kama ni konokono
hahahaaa! kama ninatumia desktop vip? au nigeuke mimi mwenyeweHaha..tizama kwa makini babu..anaonekana ila kumuona vizuri geuza simu juu chini
[emoji23][emoji23][emoji23]Mi mpaka sasa niko Bashite bashite...
hahaha [emoji23][emoji23][emoji23]Yani imebidi kuita wadau ndo wamenionesha hiyo picha ya mtu...
Kwa hapo nimekubali mi ni kilaza au kama si kilaza basi Konyagi sio pombe nzuri...