Pilipili ina madhara yoyote mwilini?

Nimekuwa nikisikia na hata kuona watu wenye dalili za madhara yanayotajwa kuwa yamesababishwa na utumiaji wa Sukari kwa wingi, Lakini pia utumiaji wa Chumvi kupita kiasi au Chumvi isiyo na Madini Joto inatajwa kuleta madhara fulani kiafya!!
Sasa katika matumizi ya PiliPili, Sijawahi kusikia madhara yake kiafya bali vile tu inasemekana kuwa ukizidisha matumizi yake basi wakati wa kwenda HAJA utakiona cha 'Moto'!! Kwa hivyo basi naomba kujua kama kuna madhara yoyote(kiafya) yanayoweza kusababishwa na matumizi ya Pilipili kwa wingi!!??

Hakuna kitu cha kuuliza unauliza madhara ya pilipili? Madhara ya Pilipili ni

kuwasha tu hakuna madhara zaidi ya hayo Pilipili ina faida haina madhara Sahar Kama wewe ni Mwanamke

madhara ya kutumia Pilipili itakutia nyege utafute mwanamme ufranye nae mapenzi. Na Madhara kwa

mwanamme kutumia pilipili itakufanya ujisikie nyege ya kutaka wanawake hayo ndio madhara ya kutumia Pilipili.

Unaweza kutembelea hapa kuona Faida ya kutumia Pilipili bonyeza hapa.
FAIDA ZA PILIPILI KICHAA KIAFYA NA KITIBA
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mie mtafunaji wa pilipili mzuri kwa muda mrefu tu, chakula hakipandi bila kuwepo pilipili hata kiwe kitamu vipi naona kimepooza. Sijaona madhara yoyote kiafya kwa kula pilipili.

Umeona enheeee? Wacha tule tu kwa raha zetu. Mi juzi nshatengeneza Ile ya kuchanganya na embe alotufundisha farkhina kule jikoni
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK

Hakuna kitu cha kuuliza unauliza madhara ya pilipili? Madhara ya Pilipili ni

kuwasha tu hakuna madhara zaidi ya hayo Pilipili ina faida haina madhara Sahar Kama wewe ni Mwanamke

madhara ya kutumia Pilipili itakutia nyege utafute mwanamme ufranye nae mapenzi. Na Madhara kwa

mwanamme kutumia pilipili itakufanya ujisikie nyege ya kutaka wanawake hayo ndio madhara ya kutumia Pilipili.

Unaweza kutembelea hapa kuona Faida ya kutumia Pilipili bonyeza hapa.
FAIDA ZA PILIPILI KICHAA KIAFYA NA KITIBA

Hahahahhaha mkwe umenchekesha eeeeeh thanks god nala sana pilipili nkiwashwa mkunaji yupo lol
 
Mie mtafunaji wa pilipili mzuri kwa muda mrefu tu, chakula hakipandi bila kuwepo pilipili hata kiwe kitamu vipi naona kimepooza. Sijaona madhara yoyote kiafya kwa kula pilipili.

Kwa hapo mie mwenzio tangu nala pilipili sijawahi kudhurika nayo ila naskia zile kokwa zake sio nzuri.........
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hii pilipili naona hapa jamvini imepata wapenzi wengi, ni bomba sana.

Umeona enheeee? Wacha tule tu kwa raha zetu. Mi juzi nshatengeneza Ile ya kuchanganya na embe alotufundisha farkhina kule jikoni
 
Last edited by a moderator:

Hakuna kitu cha kuuliza unauliza madhara ya pilipili? Madhara ya Pilipili ni

kuwasha tu hakuna madhara zaidi ya hayo Pilipili ina faida haina madhara Sahar Kama wewe ni Mwanamke

madhara ya kutumia Pilipili itakutia nyege utafute mwanamme ufranye nae mapenzi. Na Madhara kwa

mwanamme kutumia pilipili itakufanya ujisikie nyege ya kutaka wanawake hayo ndio madhara ya kutumia Pilipili.

Unaweza kutembelea hapa kuona Faida ya kutumia Pilipili bonyeza hapa.
FAIDA ZA PILIPILI KICHAA KIAFYA NA KITIBA

hureeeeeee!!.watu weweeeeeeee.dah nimefurahi sana kwa ufafanuzi huu.maana sisi wengine tumeanza kula pilipili tangu tukiwa form two miaka ya tisini huko na mpaka leo tunaila.kiukweli sijawahi kupata madhara yeyote mpaka hii leo zaidi ya usumbufu tu toka kwa jamaa yangu "abdala kichwa wazi" hasa pale anapokatiza mrembo.mana kuna wakati inanibidi niingie kwanza sehemu nimuweke vizuri ili asiniabishe mbele za watu.asante mkuu MziziMkavu.
 
Mbona nliskia pilipili ina faida mwilini?

Kuna Uzi upo humu nafkiri wa Dr Mzizi mkavu.

Kuwa na madhara sijaskia, labda ukiila kwa wingi inafanzisha joto tumboni.

10177515_10154019701920198_1567686064682072329_n.jpg


10155678_10154019702325198_6935579991124521942_n.jpg


10151171_10154019702930198_6605252748413006280_n.jpg


FAIDA ZA PILIPILI KICHAA KIAFYA NA KITABIBU TIBA MBADALA

Pilipili kichaa inaweza kustawi sehemu mbalimbali na inahitaji siku 100 za ukuwaji.
Hustawi zaidi kwenye mazingira ya joto na unyevunyevu.

Mmea huu hukua kufikia urefu wa futi mbili hadi nne.Ina wingi wa vitamini A,pia ina vitamini B,vitamini E,vitamini C,Riboflavin,Potassium na Manganese.

- Jamii nyingi hususa Marekani na bara la Asia wana historia ya kutumia pilipili kichaa kama tiba.

Ni dawa yenye nguvu sana na matumizi
mengi,hutumika sana kwa kusafisha damu na kutoa sumu mwilini,pia hutumika kusisimua mzunguko wa damu na kuweka sawa uwiano wa
tindikali(acid)mwilini.

Pilipil i kichaa imetumika kwa maradhi tofautitofauti ikiwemo moyo,gauts,kupooza,homa,kikoho zi,tonsilatis,kichefuchefu na hemorhoids kwa miaka mingi huko Asia na mashariki ya mbali.


MAAJABU YA PILIPILI KICHAA;


1.Kutibu kidonda-Hii inaweza kuwa ni ajabu kwa walio wengi lakini ni tiba liyothibitishwa na imekuwa ikitumika miaka kadhaa iliyopita katika nchi

mbalimbali.

Sio tu kuzuia kutokwa na damu katika kidonda cha kujikata kama ilivyozoea kutumiwa na wengi huko majumbani kwa miaka mingi bali
pia huzuia fangasi na bakteria kuingia katika uwazi wa kidonda hicho hutumika pia kuondoa sumu mwilini

2.Hufanya mwili kuweza kutumia vyema virutubisho vipatikanavyo kutokana na chakula


3.Husaidia uyeyushaji wa

mafuta mwilini/Kuchoma mafuta

4.Pilipili ina antioxidants muhimu kama beta carotene,ina wingi wa vitamini A,C na K hebu tuziangalie vitamini hizo:

a.Vitamini A husaidia kuweka sawa kinga ya mwili pia hutukinga na kansa
na magonjwa ya moyo

b.Kazi ya vitamini C-ni kuzuia strock,magonjwa ya moyo,macho na kansa mbalimbali.Miili ya binadamu haiwezi kujitengenezea vitamini C,hivyo basi tunaweza kupata vitamini C kupitia
chakula.

c.Vitamini K-Husaidia katika ukuwaji wa mifupa,pia ni muhimu katika mzunguko wa damu.

Pilipili zote huwa na Capsaicin ambayo kazi yake ni kupunguza maumivu,kuzuia kansa na magonjwa ya moyo.


5.Inasaidia sana kusawazisha sukari kwenye damu


6.Huwasaidia
watu wanene(over weight) au wanaougua ugonjwa wa kisukari.Hii ni kwa mujibu wa watafiti katika chuo kikuu cha Tasmania uliochapishwa katika American Joarnal of Clinical Neutition mwezi julai 2006.

7.Inasaidia kwa
kiasi kikubwa kudhibiti kwa kiasi kikubwa INSULIN kwa 60% baada ya kula chakula

8.Husaidia kupunguza maumivu na uvimbe kwenye tezi na vilevile
huwasaidia wagonjwa wa RHEMATOID na ARTHRITIS kupata nafuu

9.Husaidia kuondoa mkusanyiko wa damu sehemu moja
mwilini

10.Husaidia kufungua kwa haraka na kwa ufanisi pua zilizoziba kwa mafua na kukufanya upumue kwa urahisi.


11.Husaidia kupunguza uwezekano wa kupatwa na saratani ya utumbo.


12.Husaidia kuongezeka kiwango cha METABOLIC ambayo husaidia kuchoma mafuta


13.Husaidia kuongezeka kwa kiwango cha METABOLIC kwa 23% ndani ya masaa matatu.


14.Husaidia kupunguza cholestro na kupunguza kiasi cha fibrin katika damu.


Kwa Ushauri wa Maswali na Matibabu ta Maradhi yoyote yale wasiliana na mimi Kwa njia ya email Baruwa ya

pepe Email Address yangu hii hapa
fewgoodman@hotmail.com
chanzo. Topic: FAIDA ZA PILIPILI KICHAA KIAFYA NA KITABIBu
 
Imekuwa ni kawaida kwangu kutumia pilipili kila mlo,naweza tumia pilipili 10 kwa mlo mmoja na kwa siku pilipili 20, japo sijaona sijaona madhara yoyote. nimeanza kujistukia labda hapo baadae zitaniathili kiafya, ningependa madaktari wa afya mnishauli. ahsanteni
 
Hasa ukishapiga K-vant pilipili inahitajika sana
Mie mtafunaji wa pilipili mzuri kwa muda mrefu tu, chakula hakipandi bila kuwepo pilipili hata kiwe kitamu vipi naona kimepooza. Sijaona madhara yoyote kiafya kwa kula pilipili.
 
Ahsante mkuu
Faida ya Afya ya Kula Pilipili

Japokuwa Pili pili inaliwa na watu wa jamii mbali mbali duniani, faida na Afya ya kula pilipili wengi hawazijui au hazijulikani na watu wengi.

Kwenye pilipili kuna kemikali iitwayo Capsaicin, ambayo ndio inayo sababisha muwasho na joto la pilipili.

Pilipili inasaidia sana kusawazisha sukari kwenye damu:
Ulaji wa pilipili kunaweza kunawasaidia sana watu wanene (overweight) au wanao ugua ugonjwa wa kisukari. Hii ni kwa mujibu wa timu ya watafiti katika Chuo Kikuu cha Tasmania, utafiti iliyochapishwa katika American Journal of Clinical Nutrition, mwezi Julai 2006.

Utafiti huo pia umeonyesha kwamba kawaida ya kula Pilipili kunaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kudhibiti na kusawazisha insulini kwa 60%. baada ya kula chakula.

Pilipili husaidia kupunguza maumizi na uvimbe kwenye tezi na vilevile huwasaidia wagonjwa wa rheumatoid na arthritis kupata nafuu. Vile vile husaidia kuondoa mkusanyiko wa damu sehemu moja ya mwili

Pilipili usaidia kufungua kwa haraka na kwa ufanisi pua zilizoziba kwa mafua, kuruhusu kupumua kwa urahisi zaidi!

Pilipili pia husaidia kupunguza upatikanaji wa saratani ya kwenye tumbo (Stomach Cancer)

Pilipili usaidia kuongezeka kwa kiwango cha metabolic, ambayo husaidia kuchoma mafuta, ulaji wa pilipili kunaweza kuinua kiwango na metabolic yako hadi 23% ndani ya masaa 3.

Kula pilipili usaidia kupunguza cholesterol, na kupunguza kiasi cha fibrin katika damu.




Cubanelle_Peppers.jpg

 
Haina madhara yoyote ila wakati wa kujisaidia inakuwa tatizo kiasi
Ukiona hivyo ujuwe tatizo ni huko unapopatumia wakati wa kujisaidia. Pilipili ndiyo inakujulisha kuwa una tatizo. Ambae hana tatizo huko wala habari hapati.
 
Pilipili haina madhara wala tatizo lolote tena ni nzuri sana kiafya ma pilipili ndiyo diagnosis yako binafsi ya matatizo. Ukila pilipili tumbo likiuma ujuwe una tatizo tumboni. Halikadhalika kifua, kichwa, presha, na mengine mengi.

Kula pilipili kwa afya yako.
 
Faida ya Afya ya Kula Pilipili

Japokuwa Pili pili inaliwa na watu wa jamii mbali mbali duniani, faida na Afya ya kula pilipili wengi hawazijui au hazijulikani na watu wengi.

Kwenye pilipili kuna kemikali iitwayo Capsaicin, ambayo ndio inayo sababisha muwasho na joto la pilipili.

Pilipili inasaidia sana kusawazisha sukari kwenye damu:
Ulaji wa pilipili kunaweza kunawasaidia sana watu wanene (overweight) au wanao ugua ugonjwa wa kisukari. Hii ni kwa mujibu wa timu ya watafiti katika Chuo Kikuu cha Tasmania, utafiti iliyochapishwa katika American Journal of Clinical Nutrition, mwezi Julai 2006.

Utafiti huo pia umeonyesha kwamba kawaida ya kula Pilipili kunaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kudhibiti na kusawazisha insulini kwa 60%. baada ya kula chakula.

Pilipili husaidia kupunguza maumizi na uvimbe kwenye tezi na vilevile huwasaidia wagonjwa wa rheumatoid na arthritis kupata nafuu. Vile vile husaidia kuondoa mkusanyiko wa damu sehemu moja ya mwili

Pilipili usaidia kufungua kwa haraka na kwa ufanisi pua zilizoziba kwa mafua, kuruhusu kupumua kwa urahisi zaidi!

Pilipili pia husaidia kupunguza upatikanaji wa saratani ya kwenye tumbo (Stomach Cancer)

Pilipili usaidia kuongezeka kwa kiwango cha metabolic, ambayo husaidia kuchoma mafuta, ulaji wa pilipili kunaweza kuinua kiwango na metabolic yako hadi 23% ndani ya masaa 3.

Kula pilipili usaidia kupunguza cholesterol, na kupunguza kiasi cha fibrin katika damu.




Cubanelle_Peppers.jpg

Asante saaaaana mtaalam kwa elimu hii mimi mlaji namari 1 wa pilipili nimeshangaa nimewaambukiza watoto wangu. Imekura buku au 1500 inaenda kwenye pilipili kila siku imebidi tupande zetu. Sasa kwa elimu hii najisikia kula pilipili bila hofu na ki furahia mlo jama imavyotakiwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom