Pilipili ina madhara yoyote mwilini?

Pilipili ina madhara yoyote mwilini?

Nikiwa darasa la 4 nyumbani ilikuwa inasagwa pilipili mbuzi kwa matumizi ya chakula. Ikafika hatua mboga zikipikwa zinawekwa pilipili humohumo na ndivyo nilivyokulia. Sijisifu, ila pilipili ninayokula sasa hivi wengi wao hawaiwezi.
 
Mie habari ya kula bila pilipili siwezi kabisaaa. Ila nkiizidisha ndio nakiona cha moto
 
Kitu ichoo. Hatumwi mtt dukani. Kitu cha mwendokasi kimeungwa kizanzibari
Snapchat-2143245536.jpg
 
Mimi ni mtumiaji mzuri sana wa pilipili. Kila nipatapo chakula basi huwa nahakikisha pilipili haikosekani. Je eti matumizi ya pilipili nyingi yana madhara yoyote mwilini?

Wataalamu wa afya na lishe nipeni ushauri.
Madhara ya pili pili ni kuota Kansa ya Mkundu basi ni ivyo tu.
 

Attachments

  • IMG-20240511-WA0002.jpg
    IMG-20240511-WA0002.jpg
    17.5 KB · Views: 8

Similar Discussions

Back
Top Bottom