Pikipiki na ajali, nini kifanyike?

Pikipiki na ajali, nini kifanyike?

Malipo kwamungu

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2012
Posts
574
Reaction score
86
PIKIPIKI NA AJALI

Nasikitishwa na pikipiki katika kipindi hiki zinaua sana!Wataalamu mtusaidie ni uendeshaji au undwaji wa pikipiki hizo?

Kama taifa tuliangalie kuwa ni janga jingine kwa taifa hili tunapoteza nguvu kazi kubwa ya rasilimali watu hasa vijana.

Tunaomba msaada wa wadau kila kada polisi,tbs,kuingilia kati kuokoa taifa hili katika janga hili ikiwezekana waelimishaji wafanye sehemu yao katika kuwafundisha ili wapone.
 
Pikipiki hazina shida ,ila waendeshaji hawafuati sheria za barabarani ,na kuendesha huku wamelewa ndipo vifo na ulemavu hutokea
 
Pikipiki hazina shida ,ila waendeshaji hawafuati sheria za barabarani ,na kuendesha huku wamelewa ndipo vifo na ulemavu hutokea
donbeny nimewaomba wadau wa tbs,polisi na veta kama wanaweza kuja na mitala ya uelimishaji kwa waendeshaji wa pikipiki
 
Back
Top Bottom