Pikipiki inauzwa bado mpya

Pikipiki inauzwa bado mpya

Rich Forever

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2017
Posts
467
Reaction score
469
Nauza pikipiki bado mpya kabisa imepaki ndani tu ipo kwenye hali nzur sana ni automatic

Pikipiki ipo Msasani fitness

Bei ni dola 650.

IMG_0247.jpg

e6fa4d8a-d329-4b38-8d50-ae76eb4b586a.jpg

9783a473-3d86-4bac-b00f-37fde06290be.jpg

IMG_0248.jpg

Simu namba

0719590756
 
Na mm spendi speed maana sitafuti ya mashindano just for my own use
Mkuu ndo pikpik ninayoikubali hii ata kiusalama tu unajiamini,vione hivyo vina nguvu balaa vinanyanyua gunia za mahindi hivyo

Hah kweli vina nguvu sana... wewe upo wapi nikutafutie
 
Kuna mpemba mmoja aliniambia hzi vespa zinakimbia Sana zaidi ya boksa....nilibaki kucheka tuu
wale jamaa wa kuvusha magendo kule Bunju( na Namanga) ni mwendo wa vibao vya mbuzi tu,
Boksa ikakae hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom