Pikipiki aina ya SANLG inauzwa

Pikipiki aina ya SANLG inauzwa

return of cs

Senior Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
130
Reaction score
24
Jipatie pikipiki aina ya SANLG ikiwa na muonekano mzuri kbs,imetumika miezi7 haidaiwi kwa bei ya tsh1.5 mil nipo mwanza.haijachomwa wala haina michubuko
 
Kwa bei hiyo, hutopata mtu, maana dukani unapata kwa 2millin, full bima. Sasa wewe imetumika miezi saba, ni mingi sana. Kwa bei ambayo mtu unaweza kumuuzia ni 1miliion.
 
Mie yangu ninayo aina ya LANTIC, inamwaka mmoja sasa sokoni, na inapiga boda boda hadi leo hii inaleta hesabu, nauza laki nane tu. Haina punguzo hiyo. Kama unahitaji ni PM, pia simu yangu haiwezi kutuma picha hapa, nitumie namba ya watsap nitakutumia picha ya piki piki hiyo. Pia napatikana mbagara- dar es salaam
 
Kwa bei hiyo, hutopata mtu, maana dukani unapata kwa 2millin, full bima. Sasa wewe imetumika miezi saba, ni mingi sana. Kwa bei ambayo mtu unaweza kumuuzia ni 1miliion.
In used lakn inategemea ilikua inatumika vipi,hii ilikua ni kwa mizunguko binafsi siyo boda boda
 
Kwa bei hiyo, hutopata mtu, maana dukani unapata kwa 2millin, full bima. Sasa wewe imetumika miezi saba, ni mingi sana. Kwa bei ambayo mtu unaweza kumuuzia ni 1miliion.
In used lakn inategemea ilikua inatumika vipi,hii ilikua ni kwa mizunguko binafsi siyo boda boda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom