NdioUna documents zake?
Sijawahi kuuliza bei yake lakini unaweza pata majibu kwa urahisi maduka ya vifaa vya pikipikiKwani hiyo block ni bei gani
Tuambieni bei ya hiyo block had muuzaji kashindwa kurepair isije tukanunua ikatunyea!
Inatoa moshi sana nnMkuu sijawahi kuhangaika na matengenezo ya block. Fundi alivyosema block imekufa nikamwambia kijana aipak
Halali/halariKama una nyaraka halari nitafute dp
Mkuu kabla ya kununua si unajiridhisha mwenyewe... Chombo bado kipo vizuri tu.Sasa mkuu tutajuaje kama tatizo ni block tu mm nakaa kijichi mgeni nani na kama mashine itakuwepo mpaka wa kumi na moja nitakutafuta ila kama tatizo ni block na matatizo mengine madogo madogo
Ndio moshi kwa sababu ya kutanuka blockInatoa moshi sana nn
Kama inatoka sana moshi wauzie wachaga.Inatoa moshi sana nn