sirleondavid
JF-Expert Member
- Sep 30, 2012
- 377
- 25
bei km ya gari mkuu
kama ni gari mbona halina bodi na kama ni gari mvua ikinyesha sinyeshewi?hiyo bike we unaionaje?
si gari hiyo???
we wa wapi?
Wandima ongeza pay mashine ya mjapani hiyo.
sio kwamba nimeiponda mkuu,hiyo bike we unaionaje?
si gari hiyo???
we wa wapi?
sio kwamba nimeiponda mkuu,
ipo poa kweli
ila hiyo bei mkuu kwa huu ukanda wetu ni kubwa mno
manake mtu akiongezea kidogo anachukua mchuma.
Ila watafute wale washkaji wenye rasta huwa wanapenda sana hizo bike.
kama utakosa mteja kabisa na lazima uiuze ni PM
kama ni gari mbona halina bodi na kama ni gari mvua ikinyesha sinyeshewi?
huna hobi na Pikipiki Mkuu,nyamaza tu.kama ni gari mbona halina bodi na kama ni gari mvua ikinyesha sinyeshewi?