gasto genaro
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 780
- 554
Wakuu,
Kampuni inayokiongoza kitengo cha huduma kwa wateja Vodacom, mkataba wake una malizika mwisho wa mwezi huu wa tano 2017.
Kiama hiki kinakuja pale ambapo watanzania wengi haswa vijana walipo na uhitaji mkubwa wa ajira, huku serikali yao pendwa ikiwa imezuia ajira kwa takribani mwaka na nusu.
Ikumbukwe kuwa, erolink ni kampuni iliyoajiri vijana zaidi ya 1000 nchini. Kwa vodacom pekee, erolink ina wafanyakazi zaidi ya 500.
Kuondoka kwa erolink vodacom, ni pigo kwa baadhi ya wafanyakazi maana ni lazima redundancy ifanyike.
Updates!
Nimepata habari kuwa, ajira za wafanyakazi wote waliokua Chini ya erolink zitakua safe maana mwajiri mpya atawatumia wafanyakazi hao hao. Kwaiyo msiwe na hofu wafanyakazi mliokua chini ya Erolink.
Kampuni inayokiongoza kitengo cha huduma kwa wateja Vodacom, mkataba wake una malizika mwisho wa mwezi huu wa tano 2017.
Kiama hiki kinakuja pale ambapo watanzania wengi haswa vijana walipo na uhitaji mkubwa wa ajira, huku serikali yao pendwa ikiwa imezuia ajira kwa takribani mwaka na nusu.
Ikumbukwe kuwa, erolink ni kampuni iliyoajiri vijana zaidi ya 1000 nchini. Kwa vodacom pekee, erolink ina wafanyakazi zaidi ya 500.
Kuondoka kwa erolink vodacom, ni pigo kwa baadhi ya wafanyakazi maana ni lazima redundancy ifanyike.

Updates!
Nimepata habari kuwa, ajira za wafanyakazi wote waliokua Chini ya erolink zitakua safe maana mwajiri mpya atawatumia wafanyakazi hao hao. Kwaiyo msiwe na hofu wafanyakazi mliokua chini ya Erolink.