Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,340
Hajawahi kuwa mzeeKwamba ni kijana ??
Kwamba tunaishi kwa hisani yake?😂😂😂😂Usalama wa taifa uyo
DuhView attachment 2273114
Unaambiwa kwenye mbio za maisha ukipata nafasi ya kupiga hela kihalali itumie haraka sana , Kuchelewa ni hasara kubwa sana .
Huyu kijana alipata nafasi ya kuvuna chochote hadi baadhi ya viongozi wakachukia , Cha ajabu sasa ni hiki , Maadui zake walipoondoka naye Amepotea !
Je ni kweli kwamba sometimes tunahitaji maadui ili tufanikiwe ?
Yuko wapi Pierre Liquid , Mhamasishaji wa Timu ya Taifa ?
View attachment 2273114
Unaambiwa kwenye mbio za maisha ukipata nafasi ya kupiga hela kihalali itumie haraka sana , Kuchelewa ni hasara kubwa sana .
Huyu kijana alipata nafasi ya kuvuna chochote hadi baadhi ya viongozi wakachukia , Cha ajabu sasa ni hiki , Maadui zake walipoondoka naye Amepotea !
Je ni kweli kwamba sometimes tunahitaji maadui ili tufanikiwe ?
Yuko wapi Pierre Liquid , Mhamasishaji wa Timu ya Taifa ?
Ni kati ya wabunge wapya wa CCM, ila kwa sasa anatumia jina lake halisi.View attachment 2273114
Unaambiwa kwenye mbio za maisha ukipata nafasi ya kupiga hela kihalali itumie haraka sana , Kuchelewa ni hasara kubwa sana .
Huyu kijana alipata nafasi ya kuvuna chochote hadi baadhi ya viongozi wakachukia , Cha ajabu sasa ni hiki , Maadui zake walipoondoka naye Amepotea !
Je ni kweli kwamba sometimes tunahitaji maadui ili tufanikiwe ?
Yuko wapi Pierre Liquid , Mhamasishaji wa Timu ya Taifa ?
Nipo Mkuu. nina biashara zangu napigaView attachment 2273114
Unaambiwa kwenye mbio za maisha ukipata nafasi ya kupiga hela kihalali itumie haraka sana , Kuchelewa ni hasara kubwa sana .
Huyu kijana alipata nafasi ya kuvuna chochote hadi baadhi ya viongozi wakachukia , Cha ajabu sasa ni hiki , Maadui zake walipoondoka naye Amepotea !
Je ni kweli kwamba sometimes tunahitaji maadui ili tufanikiwe ?
Yuko wapi Pierre Liquid , Mhamasishaji wa Timu ya Taifa ?
Wewe ni mjinga sana, mtu kauliza flani yuko wapi wewe unaleta ujinga ujinga hapaMbona yupo anaendelea kutafuta pesa. Jamaa yupo anapambana au una lako binafsi na yeye. tabia za kujadili maisha ya watu hazikisaidii kitu huo ni ujinga Broo