Pictures of ongoing Tanzania's SGR construction

Pictures of ongoing Tanzania's SGR construction

Geza Ulole

Platinum Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
75,663
Reaction score
107,089
Ours goes quietly, no need of lunatic media frenzy

DSC_5849.JPG


DSC_5815.JPG


DSC_5830.JPG


DSC_5841.JPG


Source: MichuziBlog
 
Manyoni hiyo!! hapo ni ukarabati tu...
hiyo ni standard gauge! sasa kama ukarabati, je tulikuwa na SGR kabla reli ya kati? Angalia pembeni na utaona reli ya kati
 
Kwani reli inajengwa kwa mikono,maanake sioni vifaa ata kwa mbali,kama kawaida mambo ya tz yanakaa feki na ya kuiga.
 
Kwani reli inajengwa kwa mikono,maanake sioni vifaa ata kwa mbali,kama kawaida mambo ya tz yanakaa feki na ya kuiga.
hahah picha imepigwa ilipoisha :lock1:

Tanzania awards $9 bln rail projects to Chinese companies

DAR ES SALAAM

May 31 Tanzania has awarded contracts to build new railway lines worth about $9 billion to Chinese firms, its transport minister said, expanding Beijing's presence in East Africa's second-biggest economy.

Transport Minister Samuel Sitta told parliament on Saturday a Chinese consortium had been awarded a contract to build a 2,561 km (1,536 miles) standard gauge railway connecting Dar es Salaam port to land-locked neighbours at a cost of $7.6 billion.

"A consortium of Chinese railway companies led by China Railway Materials (CRM) has been picked to help us build the railway line," he said.


The consortium will provide 10 percent of the funding for the project while financial adviser Rothschild is finalising procedures for financing of the project through banks, Sitta said.


The minister said construction of the railway line was expected to start in June.


He said Tanzania had signed a framework agreement with another Chinese company, China Railway No.2 Engineering Group Co. Ltd., to build a railway line linking coal and iron ore mine projects, also under development by a Chinese group, to the southern port of Mtwara near big offshore natural gas discoveries.


The 1,000 km standard gauge railway line is expected to cost at least $1.4 billion, according to the Tanzanian government estimates.


Tanzania said in March it planned to spend $14.2 billion to construct a new rail network in the next five years financed with commercial loans, as the country aims to become a regional transport hub.


Tanzania, like its neighbour Kenya, wants to profit from its long coastline and upgrade existing railways and roads to serve growing economies in the land-locked heart of Africa.


Oil discoveries in Kenya and Uganda and gas finds in Tanzania have turned East Africa into an exploration hotspot for oil firms but transport infrastructure in those countries has suffered from decades of under-investment.


Tanzania last year signed an agreement with China Merchant Holding International (CMHI) to build a new mega port and economic zone at Bagamoyo expected to cost at least $10 billion.


China is also financing a $1.2 billion, 532 km (330 mile) natural gas pipeline in Tanzania. (Reporting by Fumbuka Ng'wanakilala. Editing by Jane Merriman)


Read more at Reutershttp://www.reuters.com/article/2015/05/31/tanzania-railways-idUSL5N0YM09H20150531#07XyGqDqGImlHDFs.99
 
Source some blog post.
Watanzania muanze kazi, haswa sasa mna rais mpya mchapa kazi, hizi porojo za alfu ulela na kusubiri nazi idondoke kutoka kwa mnazi zitawaponza. Mkiendelea hivi kwalilia Wakenya na kujipima nasi kwa kila kitu mtapoteza miaka ingine kumi afu tena mpigwe ngoma nyingine na CCM hadi miaka 200 nafikiri mwanaye Kikwete aliwaambia kwenye video fulani na bado hamjamwelewa.

CC: JokaKuu
 
Last edited by a moderator:
Ni wapi hapo wanajenga?

Hii ikikamilika, basi wahamishe mizigo hasa containers zisafirishwe kwa reli ila barabara zipumue
 
Mmmmh mtanisamehe ila kwa ninavyomfahamu kaka mkuu mstaafu lazima angezindua kwa kuweka jiwe la msingi na kipindi maalum juu haiwezekani ipite kimya sio swahiba yule weee kaweka jiwe la msingi hata kwenye hotel tu.
 
Ni kweli kabisa huo ujenzi unaendelea kati ya stesheni za Mpiji na Soga kwa wanaosafiri na treni ya reli ya kati watakuwa wanaona ujenzi ukiendelea kila wanapopita maeneo hayo
 
Mbona kazi ishaanza kitamba hii standard gauge, Tz inaamka sasa
 
Source some blog post.
Watanzania muanze kazi, haswa sasa mna rais mpya mchapa kazi, hizi porojo za alfu ulela na kusubiri nazi idondoke kutoka kwa mnazi zitawaponza. Mkiendelea hivi kwalilia Wakenya na kujipima nasi kwa kila kitu mtapoteza miaka ingine kumi afu tena mpigwe ngoma nyingine na CCM hadi miaka 200 nafikiri mwanaye Kikwete aliwaambia kwenye video fulani na bado hamjamwelewa.

CC: JokaKuu

..so happy kikwete is gone.

..ngoja tuone Dr.Magufuli atafanya nini.
 
Source some blog post.
Watanzania muanze kazi, haswa sasa mna rais mpya mchapa kazi, hizi porojo za alfu ulela na kusubiri nazi idondoke kutoka kwa mnazi zitawaponza. Mkiendelea hivi kwalilia Wakenya na kujipima nasi kwa kila kitu mtapoteza miaka ingine kumi afu tena mpigwe ngoma nyingine na CCM hadi miaka 200 nafikiri mwanaye Kikwete aliwaambia kwenye video fulani na bado hamjamwelewa.

CC: JokaKuu
Kwahiyo tanzania wote ni wavivu WA kazi? kenya hakuna wavivu ?kama sio wale wazungu waliobaki baada ya uhuru kuendeleza kampuni na viwanda vyao kenya mungekuwa wapi leo?mukavunja Eac kijanja mukabaki na mali za Eac.
wakati mulipatwa na njaa chakula mulipata wapi Kenya kama sio kuokolewa na tanzania.
matunda,Michele,mahindi,kahawa munakuja kufuata Tanzania tangu zamani.
Safari hii ile tanzanite ya bure bure hamupati tena.
 
Last edited by a moderator:
Source some blog post.
Watanzania muanze kazi, haswa sasa mna rais mpya mchapa kazi, hizi porojo za alfu ulela na kusubiri nazi idondoke kutoka kwa mnazi zitawaponza. Mkiendelea hivi kwalilia Wakenya na kujipima nasi kwa kila kitu mtapoteza miaka ingine kumi afu tena mpigwe ngoma nyingine na CCM hadi miaka 200 nafikiri mwanaye Kikwete aliwaambia kwenye video fulani na bado hamjamwelewa.
Huu ukweli mchungu
 
WA-TZ si watu wa kujitangaza kama wakenya. si mliona ile SGR toka mombasa ilitangazwa utafikiri wameenda sayari ya MARS
 
Back
Top Bottom