Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 6,750
- 14,495
Kitendawili?
Tega.
Hivyo sio nchi invyoendeshwa kisayansi,
Haijalishi chama kinamuweka nani kileleni kwenye nchi ambayo zina civil services zilizo imara (na ya kwetu ovyo).
Mweh, acha tu kwanini uumie.
Unaweza tumia muda mwingi kutukanana na NHC na sijui taasisi gani bila ya wahusika kuelewa unavyowatetea kwa hasara ya kucha zako kibaya zaidi na kodi unawalipia; juu.
Vunja tu Nehemia Magorofa yenye faida kwako, that’s what some people deserve.
Tega.
Hivyo sio nchi invyoendeshwa kisayansi,
Haijalishi chama kinamuweka nani kileleni kwenye nchi ambayo zina civil services zilizo imara (na ya kwetu ovyo).
Mweh, acha tu kwanini uumie.
Unaweza tumia muda mwingi kutukanana na NHC na sijui taasisi gani bila ya wahusika kuelewa unavyowatetea kwa hasara ya kucha zako kibaya zaidi na kodi unawalipia; juu.
Vunja tu Nehemia Magorofa yenye faida kwako, that’s what some people deserve.