Wanajamii wenzangu naogopa hata kuchangia ila napenda kuwarejesha kiimani zaidi ukitaka ok hutaki potezea chakachua chakachua na bwaga paaaa,na kama likikukera live me alon.nenda kwenye imani ya kiislamu atakuja mtu aitwaye masidajali yeye ataweza kufanya vile vyote vilivyotushinda tukumwanini tutapigwa chapa baada ya hapo utaingia motoni hawa wanaosena anatibu tutumie akili zetu sana tusimshirikishe mungu na kitu...