Picha

Picha

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,093
579.jpg
 
Duu, ukiwapata hao kazini unaomba ruhusa ya siku mbili.
 
nguvu za mchina zimetumika zaidi hapo
 
hivi ina maana kabla ya mchina hivi vitu havikuwepo? Kwa nini kila aliyebarikiwa mpododo mumuone katumia mchina? Vingine kitu natural........ hata kwetu wapo.
 
Huwa sipendi ufinyu wa mawazo au mawazo mgando ya baadhi ya watu kufikiri kila mwanamke mnene(aliyejaliwa makalio) basi ni nguvu za mchina!!!Kila kitu mchina machina,kama vile haya mambo hayakuwepo na hayapo bila wao.sisemi kama hawapo hao wachache watumiaji ila sio kila mtu ni mchina.Kuna watu wengi tu ambao ni maumbo yao ya asili kabisa.tuwe great thinkers sio kufuata mkumbo tu....!!!!
 
Huwa sipendi ufinyu wa mawazo au mawazo mgando ya baadhi ya watu kufikiri kila mwanamke mnene(aliyejaliwa makalio) basi ni nguvu za mchina!!!Kila kitu mchina machina,kama vile haya mambo hayakuwepo na hayapo bila wao.sisemi kama hawapo hao wachache watumiaji ila sio kila mtu ni mchina.Kuna watu wengi tu ambao ni maumbo yao ya asili kabisa.tuwe great thinkers sio kufuata mkumbo tu....!!!!

Kweli mkuu wangu umenena vyema.
 
He who thinks to think good than others, he thinks wrong than any one!
 
Huwa sipendi ufinyu wa mawazo au mawazo mgando ya baadhi ya watu kufikiri kila mwanamke mnene(aliyejaliwa makalio) basi ni nguvu za mchina!!!Kila kitu mchina machina,kama vile haya mambo hayakuwepo na hayapo bila wao.sisemi kama hawapo hao wachache watumiaji ila sio kila mtu ni mchina.Kuna watu wengi tu ambao ni maumbo yao ya asili kabisa.tuwe great thinkers sio kufuata mkumbo tu....!!!!
Umeshahau kuwa tone la mafuta ya taa huharibu ladha kuliko ambavyo tone la mafuta ya kula lingeongeza ladha? na pia ubaya husemwa zaidi kuliko uzuri
 
Picha za kimalaya hz, hazina maadili zipelekwe Jukwaa Husika maana, kwangu mm hz ni disturbing images!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom