Hivi hawa wachina kama hicho kitu ni kivutio cha wanaume mbona wenyewe walivokaa hajulikani mwanamke yupi.. na mwanaume yupi..
mbona hawatumii? ama kweli Afrika ni jalala la kila kitu.
Huwa sipendi ufinyu wa mawazo au mawazo mgando ya baadhi ya watu kufikiri kila mwanamke mnene(aliyejaliwa makalio) basi ni nguvu za mchina!!!Kila kitu mchina machina,kama vile haya mambo hayakuwepo na hayapo bila wao.sisemi kama hawapo hao wachache watumiaji ila sio kila mtu ni mchina.Kuna watu wengi tu ambao ni maumbo yao ya asili kabisa.tuwe great thinkers sio kufuata mkumbo tu....!!!!
Umeshahau kuwa tone la mafuta ya taa huharibu ladha kuliko ambavyo tone la mafuta ya kula lingeongeza ladha? na pia ubaya husemwa zaidi kuliko uzuriHuwa sipendi ufinyu wa mawazo au mawazo mgando ya baadhi ya watu kufikiri kila mwanamke mnene(aliyejaliwa makalio) basi ni nguvu za mchina!!!Kila kitu mchina machina,kama vile haya mambo hayakuwepo na hayapo bila wao.sisemi kama hawapo hao wachache watumiaji ila sio kila mtu ni mchina.Kuna watu wengi tu ambao ni maumbo yao ya asili kabisa.tuwe great thinkers sio kufuata mkumbo tu....!!!!