TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,080
Who cares?
You need to take care on this matter for the sake our Tanzanians unity.
Who cares?
Crashwise na Hii linganisha pia.Muda huu mapokezi mazito ya Mbunge wa Kigoma kaskazini Mh Zitto Kabwe yanaendelea kuelekea Viwanja Kiganamo hapa Kasulu,Mapokezi ni mazito sana,hakika amefutilia kabisa nyayo za Slaa ambaye alipigwa mawe na Wananchi hapa Kasulu akakimbia na Mkutano kuvunjika.Kutoka Kigoma Mjini hadi KASULU ni KILOMITA 95,Lakini Zitto anakubalika KASULU kuliko hata Mbunge wa NCCR ndio maana Slaa alishughulikiwa kwa sababu anaua Kipaji cha Kijana wao,Mbunge wao,mwanasiasa machachari zitto Zubery Kabwe
Huu ni mwendelezo wa Kuzungumza na Wanakigoma hususani mwenendo wa Siasa zake ZItto Kabwe ndanai ya CHAMA,Mabilioni ya Uswis na Nguvu ya mafisadi wanavyotaka kuhodhi hoja hiyo,Pia yeye akiwa Mbunge wa Kigoma ni haki yake ya msingi kabisa anaitumia kutoa taarifa ya kile kinachoendelea dhidi yake hususani Kuvuliwa Vyeo vyake ndani ya chama bila kufuata misingi ya katiba ya chama(Kupewa Mashitaka kabla,Kuhojiwa Kabla,Lakini kinyume chake amehukumiwa ndipo Mashitaka yakafuata na anaambiwa ahojiwe).
Mamia ya Wananchi wameshafika kwenye viwanja hivi vya Kiganamo tayari kwaaajili ya kupokea msafara za Mh.ZItto ukiwa na zaidi ya pikipiki 130,na kwa muda huu yupo ofisi za chama hapa Kasulu kwaajili ya kusaini kitabu cha wageni.
UPDATES zote nawaletea
Picha tatu za juu ndio Muda huu watu wanamiminika kwenye uwanja wa mkutano,ZITTO YUPO JUKWAANI MUDA HUU
Mh.Zitto Kabwe akiondoka Kasulu,Amezungumzia kuhusu NAMNA CHAMA KINAVYOMSURUBISHA KWASABABU YA HOJA YAKE YA MAHESABU KWA VYAMA VYA SIASA,Mabilioni ya Uswis Na Uwajibikaji wa Viongozi wa serikali pamoja na Wa vyama Vya siasa.\
Kes HERI wana Kasulu,Nitakuja tena kuzungumza nanyi katika jambo lolote lile kabla ya hatua yoyote ile sijaichukua katika Maisha yangu ya siasa.MM ni mtoto wa mama Maskini,Baba Maskini na rafiki zangu ni watu Maskini.
Ninamalizwa na chama changu kwa sababu ya POSHO,NIMEKATAA POSHO LAKINI WAONAO UMIA NI WENGINE.
Zitto anahutubia maelfu ya wananchi
Pia zitto Kabwe amesimikwa hii leo Kuwa MWAMI na wazee wa kasulu
Mamia ya wananchi wakimiminika kwenye uwanja wa Mkutano hapa Kasulu
Mambo ndio hayo KASULU MUDA HUU
Mh.Zitto Kabwe akiwashukulu sana Wanakasulu kwa namna walivyojitokeza kwenye mapokezi hapa kasulu
Ni maelfu ya Wananchi wapo kwenye maandamano ya kumpokea Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh.Zitto kabwe.
Picha inazungumza wazi namna Msafara ulivyomkubwa sana na umejaa vijana,akina mama na wazee pamoja na watoto wanaotoa sapoti ya kutosha kwa MH.Zitto Kabwe
Maduka Yamefunga watu wote wanaelekea eneo la Mkutano,Hii ni wazi Zitto ni mtu wa watu,Ni mbunge anayekubalika Kigoma na Tanzania
nn
Ushishangae kuona kwenye msafara huu Mkubwa hapa Kasulu Pia hakuna Bendera za chadema,zaidi utaiona moja moja,Ni kwasababu wanakigoma wanasema "ZITTO NI MBUNGE WA KITAIFA,MTETEZI WA WATANZANIA,ZITTO KWANZA,CHADEMA BAADAE"
Mambo yapo hivi hapa Kasulu
Waandishi wa habari pia wapo wengi sana kwaajili yakuchukua matukio na habari
mm
\mm
j
Asanteni wanakigoma
Moja ya Mbango katika mapokezi ya Mh.Zitto Kabwe hapa Kasulu alipopigwa mawe Dr.slaa na kukimbia
Vijana wanatoa sapoti ya Kutosha kwa Mbunge wao zitto
UJUMBE WA CHADEMA"Demokrasia Itashshinda Dhidi ya UHAFIDHINA"
Vijana wakiwa wamejipanga kumpokea Zitto kwenye Vijiji vya Kwanza Kwanza kabla huja fika Kasulu Mjini KM.2 nyuma.
Mambo ndio haya,Wanasema NABII HAKUBALIKI KWAO? Zitto ametikisa Kigoma
Zitto alialikwa na CDM Kasulu, amekwenda kama mualikwa.
Source: Katibu wa CDM Kasulu.
Mod futa hii thread.
Napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza mh zitto kabwe mbunge wa kigoma mjini kwa ziara aliyoifanya jimboni kwake hivi karibuni.ni busara na uwajibikaji mkubwa sana kukutana na wapiga kura wako yaani unaowawakilisha.kwa kufanya hivyo unawapa fursa wapiga kura wako kukueleza matatizo yao na ww kuwapa taarifa ya maendeleo ya ahadi zako.lakini kinacho nishangaza ni kitendo cha ww kufanya ziara kwenye jimbo la kasulu nashangaa kwa sababu zifuatazo ,
1.jimbo la kasulu sio lako
2.kwanini ufanye ziara kama mbunge kwenye jimbo lenye mbunge kama wewe?
3.je kuna mbunge yeyote amewahi tembelea jimbo lako kama mbunge wakati ww mwenye jimbo upo bungeni?
4.inge kuwa nikipindi kile ulipo kuwa naibu katibumkuu wa chadema ili kuwa sawa maana ulikwahuna mpaka.
Vilevile nimefuatilia sana hotuba yako jimboni kwako hakuna mahala umeongelea maendeleo/matatizo ya jimbo lako.hotuba yako kwa kiasi kikubwa ililenga kutaka kuhurumiwa na wanakigoma,pia kuwa aminisha kua wanakigoma wanapigwa vita ndani ya chama chako jambo ambalo sila kweli .haiwezekani kosa la mwana kigoma mmoja liwe la wanakigoma wote.mbinu hiyo kwenye siasa ni chafu maana unajenga hisia mbaya sana kwa wanakigoma juu ya ushiriki wao kwenye siasa za nchi hii kupitia vyama wanavyovipenda.leo umeanza na siasa za kimkoa na kikabila,je nikitu gani kitakachokuzuia kuanzisha siasa za kidini?je huoni kwamba kwa kufanya hivyo unakosa sifa za kuwa kiongozi wa umma?.maana hata apo kigoma unapoongelea uhaa si waha tu waliokupigia kura bali hata watanzania wa makabila mengine waishio walikupigia kura .mwisho napenda kukumbusha kuwa mchezo wa siasa hauna sare la zima mshindi apatikane kati yako ww na chamachako je utaweza kuishinda chadema tafakari chujua hatua.MODS NAOMBAKWA HESHIMA KUBWA UZI WANGU MSIUFUTE HARAKA.nawasilisha.
Nimesoma nao wengi sana ila nadhani upstairs huwa kuna shida fulani!!!!!![/Q
Nicholas
Yesterday 14:51
#98
BannedArray
Join Date : 7th March 2006
Posts : 11,256
Rep Power : 0
Likes Received
2602
Likes Given
4945
re: Picha: Zitto atikisa KASULU, Mkutano wa hadhara
hakuna watu hapo..ni upigaji picture tuu,na wengine hawaendi hata meter 100,wanarudi ktk shughuli zao.
ILA KIGOMA IMECHAKAA..KWELI LAANA YA KUUZANA UTUMWANI NA UCHWAI NI MBAYA..hakuta tena glory kigoma baada ya bishara haramu ya utumwa kufa,hata chumzi na dagaa, madini na kila kitu havijawaweza ibadili,zaidi ya Hela za watu wa nje..tena si hata waarabu waliowanunua watu wao...wala CCM iliyowanunua wanasiasa wao.
The Stig
Yesterday 18:15
#208
JF Senior Expert MemberArray
Join Date : 11th April 2011
Posts : 503
Rep Power : 541
Likes Received
217
Likes Given
56
By lutayega
Haijawahi kutokea hapa kasulu mjini. Umati ni mkubwa sana, kwa kigoma zitto ni zaidi ya cdm na kama wakimfukuza cdm itakufa kigoma
Naishauri chadema iachane na kigoma. Hata taifa la Marekani kuna majimbo yanajulikan ni ya red (republican) na blue (democrat). Siyo lazima kila mkoa uwe wako ili ushinde uchaguzi wa kitaifa. La muhimu ni kujoipanga kwenye mikoa kama mwanza, shimiyu, mbeya, dar, tabora, moro, iringa, kili na arusha.
Leo Ben Saanane hajachukua bundle zake za bure kutoka ufipa nini?!
Wana jamii inasikitisha sana watu wana tukana matusi tena machafu, eti watu wa Kigoma wana matatizo kwenye ubongo km alivyoandika mdau hapo chni kwa kutumia tafsida, kisa kumpokea Zito kabwe. ati ulisoma nao wana matatizo upstairs (kichwani) nani ana matatizo Kichwani kati ya wana Kgm na wewe? mbona wananchi wa Monduli walipomokea mwizi Lowasa au wananchi wa jimbo la Andrew CHENGE hamkuwatukana kuwa hawana akili vichwani? tatizo mnataka watu wote wawe na mawazo sawa km nyie. [/Q