Siasa zako za Simba na Yanga hahahaha.mkutano wa siasa au kikao cha familia?
mkutano wa siasa au kikao cha familia?
Mbeya full nyumba za udongo utadhani sijui kijiji gani milima balaa yaani ukiingia town unapanda mlima uhindini huko.
Huo ni mkutano wa mtaa wewe kilaza laikni watu wamejitokeza kwa wingi. kawambie ccm na chama pacha ACT waitishe mkutano wa mtaa uone mtakavyoangukia pua na aibu juumkutano wa siasa au kikao cha familia?
Ivi Mbeya ipo upande gani Tanzania?
Nyuso za wana- Mbeya zinaonyesha kuchoshwa na SUGU.
Mbeya full nyumba za udongo utadhani sijui kijiji gani milima balaa yaani ukiingia town unapanda mlima uhindini huko.
Hata kama kuna mbavu za mbwa ila mbeya sijui hata nani aliamua iwe jiji daah?Hembu tuambie wewe umetokea mkoa gani broo manake hata hapa mnapopaita jiji la maraha dar es salaam kuna mbavu za mbwa nyiingi tu.
Mbeya nimefanya kazi kule daah kweli CCM waliusahau ule mkoa labda Sugu atawaonesha mwanga.Serikali dhaifu ya ccm ndiyo iliyowafikisha hapo Watz,wamechoka hata uwezo wa kununua saruji na mabati tu ni shida kutokana na kodi zinazoongezwa kila mwaka huku mafisadi wakisamehewa kodi