OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Wamempa nini nepi mbona tumbo kama kipipa?
huwezi kuwa ccm ukaacha kuwa fisadi!
Wamempa nini nepi mbona tumbo kama kipipa?
We kibogo tutake radhi mabinti,labda wale wanaongojea vitanda maalum.
umeongea ukweli 100%. baada ya uchaguzi wa 2010 jk aliwashukuru wakina mama na alimsifia sana sophia simbaHatuwezi kulikomboa taifa hili bila kuwabadilisha wanawake kwani inaonekana washabiki wakubwa wa CCM ni akina mama na wasichana kama picha zinavyojionyesha.
hamna kitu just wastage of resources and time
nape analipwa vizuri sana na magamba unafahamu mamilioni yake!Nape tumbo kuubwa, wananchi wamekooonda!