Wewe Inaishi Tanganyika and still out-dated... GO HERE na utajua habari hizi sio za zamani... Father Kidevu
Ninasaidia sana Watanganyika Wanaozuru Nje;; Lakini sasa naanza kupata Uwalakini sababu sijawahi kuchat na MTU mwenye roho ya KUTU kama WEWE
Inanifanya NIANZE kuogopa kutoa MKONO wangu wa heri na UPENDO kwa wanganyika wanaopata matatizo NJE... Inaonyesha hauna UTU hata kidogo
Wewe Inaishi Tanganyika and still out-dated... GO HERE na utajua habari hizi sio za zamani... Father Kidevu
Ninasaidia sana Watanganyika Wanaozuru Nje;; Lakini sasa naanza kupata Uwalakini sababu sijawahi kuchat na MTU mwenye roho ya KUTU kama WEWE
Inanifanya NIANZE kuogopa kutoa MKONO wangu wa heri na UPENDO kwa wanganyika wanaopata matatizo NJE... Inaonyesha hauna UTU hata kidogo
Mwita MaranyaHapo ndipo utaona ufupi wa akili za jeshi la polisi Tanzania. Wanafanya mambo ambayo hata mtoto mdogo anajua hawatumii akili kufikiria.
walionyesha ITV jana jinsi walivyokuwa wamejipanga mjini Iringa kuwazuia cdm lakini cha ajabu pamoja na nguvu yote waliyotumia kwenye 'maandalizi' hawakujua walipaswa kufanya nini!!!Hapo ndipo utaona ufupi wa akili za jeshi la polisi Tanzania. Wanafanya mambo ambayo hata mtoto mdogo anajua hawatumii akili kufikiria.
Very shame watoto hawana hata kandambili unavaa suti ya ma-million? vishati vyenyewe kha! nchi yetu Tanzania.
Hivi ndivyo Makalla anavyowajali watu wake.Kamvalisha mtoto wa watu sare ya CCM na kamwacha na ndala na akawa anamkimbiza kwa kasi yakeya kutembea.Mtoto mwingine hata hiyo sare kanyimwa na yuko na yebo zake huku muheshimiwa waziri na mpambe wake wakiwa wameulamba.Kumbe kweli CCM ni chama cha mabwenyenye.Huu ni unyanya saji mkubwa wa watoto na naomba kila mpenda watoto alaani tabia hii ya kuwatumia watoto kwa maslahi binafsi kama alivyofanya mheshimiwa huyu.
Sensa?
Hivi ndivyo Makalla anavyowajali watu wake.Kamvalisha mtoto wa watu sare ya CCM na kamwacha na ndala na akawa anamkimbiza kwa kasi yakeya kutembea.Mtoto mwingine hata hiyo sare kanyimwa na yuko na yebo zake huku muheshimiwa waziri na mpambe wake wakiwa wameulamba.Kumbe kweli CCM ni chama cha mabwenyenye.Huu ni unyanya saji mkubwa wa watoto na naomba kila mpenda watoto alaani tabia hii ya kuwatumia watoto kwa maslahi binafsi kama alivyofanya mheshimiwa huyu.
Tatizo umezoea ku copy na ku paste zilipendwa!
Mimi ni mtanzania mwenye utu, mwenye uchungu na nchi yake, tofauti na wewe unayeangalia kwanza kujua wenzio wanafanya nini!
Hujui hata harufu au ladha ya mabomu yaani upo upo tu ki umbea!
Ndiyo maana kazi ya kugawa riziki huifanya MUNGU pekee, unaonyesha una roho mbaya sana mkuu, kibaya ni kuwa umeshindwa kuificha hiyo roho mbaya, ukimsaidia mtu wewe huhesabu umemnunua, badilika.
Ulipigwa Wapi Mabomu? Tanganyika? Au Nchi Nyingine... Unaweza ku-define Umbea? Saa nyingine sielewi mantiki zako; Ukiongea
ondoa chuki Moyoni; Hii ni dunia there is always silver lining in the SKY...
Well, there is silver lining in the sky, but this does not apply to you, since your understanding capacity reads below average!
Ni labda wewe imani yako ni ndogo... my understanding capacity kama ingekuwa below average... wazungu wasinge nipa kazi kuwa Director au Elimu ya Juu
Naona wakenya ni wengi Tanzania? Mmeanza kuwa Umimi kama wakenya, labda ndio maana Mabundiki kila Maana, wengi Mna chuki... Namshukuru Mungu
Nimekimbia Zamaniii
Hivi unajua wazungu huwa wanawaajiri watu wenye upeo gani kwenye taasisi zao?
Nashukuru kwa kuji identify!
Hahaaaaaaaaa!!! wazungu wanajulikana kwa kuajiri watu wenye upeo mdogo, taahira siyo taahira, ndumila kuwili kwa sana!
Sikuhizi kuna ma directors wa aina nyingi, unaweza kuwa director wa kufua nguo za watoto, director wa kuzoa mavi, director wa ...............nk.
Thanks Kamanda!