PICHA: ZANZIBAR na ILIVYOKUFA KIUME LEO KAMPALA

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797

[h=3][/h]

Beki wa Zanzibar, Aggrey Morris akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili kwa penalti, Uwanja wa Mandela, Namboole katika Nusu Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge usiku wa leo. Zanzibar ilifungwa kwa penalti 4-2 na sasa itamenyana na Bara katika mchezo wa kusaka mshindi wa tatu Jumamosi.

Khamis Mcha 'Vialli' akishangilia baada ya kuifungia Zanzibar bao la kwanza

Adeyom Saleh Ahmed akimtoka beki wa Kenya, Joackins Atudo

Nadir Cannavaro ameruka na kipa wa Kenya

Mcha anapasua ukuta wa Kenya

Mcha Vialli kamlamba mtu chenga, kamuacha chini anaambaa

Suleiman Kassim 'Selembe' akipasua katikati ya msitu wa wachezaji wa Kenya

Kocha wa makipa wa Zanzibar, Farouk Ramadhan akimpa maelekezo kabla ya mechi kipa Mwadini Ally

Kikosi cha Zanzibar leo

Kikosi cha Kenya leo

Wachezaji wa Zanzibar wakiwa wametahayari baada ya kufungwa bao la pili la kusawazisha

Mike Barasa wa pili kutoka kulia akishangilia bao lake la pili

Zanzibar wakisujudu baada ya kufunga bao la kwanza

Kipa kaenda kulia, penalti ya Aggrey imetinga kushoto

Aggrey akiwaongoza wenzake baada ya kufunga bao la pili




Jaku Juma akipambana




Adeyom akimtoka beki wa Kenya

Adeyom anajaribu

Jaku Juma akipambana

Aggrey ameruka na mtu

 
Acheni ujinsia. Kufa ni kufa hakuna cha kufa kiume au kike. Tubadilikeni jamani. Ni wanaume wangapi wanazidiwa na wanawake tena kwa mengi? Hivi leo unaweza kumlinganisha mfano mama Clinton na mtu kama Tyson? Je waweza kumlinganisha Michelle Obama na kaka yake aliyejitambulisha kuwa ni mwalimu wa michezo? Si rahisi kumlinganisha Anna Tibaijuka na Dodorous Kamala yule bingwa wa kughushi ingawa wote ni nshomile.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom