Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
kwa nn hukumwambia atoe hiyo kaptula abaki na bikini? mbona bikini imetulia kabisa hiyo!
kwa nn hukumwambia atoe hiyo kaptula abaki na bikini? mbona bikini imetulia kabisa hiyo!
Mbona hakuna Mvuto wajameni?
Hamna kitu, Majipu ya Kwapa tu!
FL1, nimekumbuka, si ulituahidi utakuwa paparaz siku ya valentino? yaani nimesubiri uripoti yaliyojiri naona kimyakapozi kazuri haka
mhhhh
Ndugu kama mambo ndivyo yalivyo kuwa naona siku hiyo tuiite siku ya wahuni na wasambazaji virus vya ukimwi,siku ya wapendanao sio siku ya ngono na kutembea na vichupi,
Unajua sisi wa tanzania tatizo ni ushamba wetu tunapapukia mambo bila kujua maana yake halisi
This is cultural imperialism,kwa mtindo huu msemo wa tanzania bila ukimwi utakuwa ni ndoto
Elisante Yona
Mambo ya kuserebuka na segere
Hizo "FUSO" za wapi jamani!
Hizo "FUSO" za wapi jamani!
Hizo "FUSO" za wapi jamani!
Mitaa ya kati kule Msasani