Picha za vurugu South Africa: Wazungu wamlilia Mwalimu Julius Nyerere

WIMBO WA TAIFA – (TANZANIA NATIONAL ANTHEM)


Mungu Ibariki Afrika,(God Bless Africa)
Wabariki Viongozi Wake,(bless her leaders)
Hekima, Umoja na Amani(wisdom, unity and peace)
Hizi ni Ngao Zetu,(these are our shields)
Afrika na Watu Wake.(Africa and her people)
Ibariki, Afrika, (Bless,Africa)
Ibariki, Afrika,(Bless,Africa)
Tubariki, Watoto wa Afrika,(Bless, Children of Africa)



Mungu Ibariki Tanzania,(God Bless Tanzania)
Dumisha Uhuru na Umoja,(sustain independence and unity)
Wake kwa Waume na Watoto,(Women, Men and Children)
Mungu, Ibariki,(God, Bless,)
Tanzania na Watu Wake(Tanzania and her people)
Ibariki, Tanzania,(Bless,Tanzania)
Ibariki, Tanzania,(Bless,Tanzania)
Tubariki, Watoto wa Tanzania(Bless, Children of Tanzania
 
Hizi picha zinawabeep wale waliobobea kwenye matumizi ya UBAGUZI wa aina yoyote ile kufanikisha milengo yao. Dini, Kabila, Rangi, Ukwasi, Imani ya Kisiasa na aina yoyote ile ya upuuzi wa kibaguzi ni adui wa JAMII popote pale. Ni somo tosha. Dalili za upuuzi tajwa zipo kwetu Tanzania. Tupinge na kuwakataa WABAGUZI!

Mwasisi wa haya makitu ni ccm atakaebisha labda si mtanzania atakuwa msudani.
 
Hata bengazi walianza hivi hivi kimchezo mchezo sasa hivi kinachoendelea huko kila mtu anajua ila kwa jinsi miafrika tulivyo tunaangamia kwa kukosa maarifa mbona huko ney york, sijui canada, norway haya makitu hamna ni hizi nchi zetu za kimaskini tu wallah aliyetuloga wala hajafa yupo hai anachezesha kibuyu chake tumtafute huko alipo.

Wewe unayejiita Dublin acha ku-quote makorokoro yote hayo. Unasumbua wasomaji. Kama hujui uliza, kuuliza si ujinga!
 
Navyowajua hawa wazulu walivyo wavivu hususani wanaume, waafrika wenzao wakishaondoka watawafuata na wazungu waishio humo, na lengo sio wafanye hizo biashara wenyewe lengo ni kuiba na wakisha maliza baaasi ngono na pombe na ndio mwisho wa biashara kufanyika!

Ndiyo nini ku quote taarifa yote hiyo?
 
Nyerere aliwahi kutabiri kwamba ukila nyama ya mtu lazima itakunogea tu..

Miaka hile wasouth waliomba msaada wakipita Africa na dunia nzima kutokomeza Apartheid ....Nyerere katika vitu alivomwambia Mandela ni kuachana na dhana kwamba South ni ya weusi tu lakini alipuuzia

Na hata katika uongozi wake alishindwa kuweka usawa wa kijamii na kuwapa nguvu kubwa ya kisiasa weusi..

Alizitenga nchi za Africa esp zile zilizokuwa mstari wa mbele kuwapigania kama Tanzania katika upande wa maendeleo na kiuchumi hali ambayo ikapelekea weusi Wa south kujiona ni bora kuliko weusi wenzao Wa Africa..

Kuna mkutano mmoja Wa NAM nchi zisizofungamana upande wowote Nyerere alimwambia live Mandela kwamba kile ambacho tulikuwa tunatarajia kutoka S.Africa sicho tunachokiona na hii ndiyo shukrani yenu...

Sasa hivi jamii ya kizungu ndio inayotetea waafrica wageni weusi...nitamkumbuka Raisi mkaburu Botha alipotoa hotuba yake kali mwaka 1985 kwenye bunge la apartheid legime

Wanaofanya fujo wengi ni wa jamii ya kizuru ambao hawana elimu kabisa mbona wenzao Xhosa ni wasataarabu
 
Tungalikuwa na Raisi nchi.hii angechukua maamuzi ya kufuta mtaala wa history of southafrica. Angechukua hatua ya kuvunja uhusiano na hawa wapumbavu . Watanzania wangerudi kutoka south na Masouth uanayotuibia barick na kwingineko yangerudi bondeni
 
yaani Mwenyezi mungu atuponye
we Africans we are more than stupid ,I don't think if we deserve to live in this word
F**k you African leaders
 
Siku zote kwenye nchi isiyo ya kwako huwezi kuishi kwa amani siku zote, labda uwe mtaalamu wa lugha mbalimbali bila kubabaisha .
 
Hawa waliokuwa wakipigana kuondoa Ubaguzi wa rangi nao kumbe ni wabaguzi? Nyerere alituambia dhambi ya Ubaguzi haiishi. Baada ya kuwaondoa wageni itawarudia wao kwa wao.
 
​inakera sana mijitu haitaki shule wala kujituma afu inataka kazi za bure
Km hawa wasomali ,wahabeshi ,wapakistani na jamii shida km hizo zinamiminika hivyo..subiri hapa bongo wajae uone kwanini south kuna upande mwingine wana haki..upande mwingine nao ni walevi na wavivu km waswahili wetu.
 
ubaguzi huu ndo walitaka kuuleta tanzania kat ya bara na vsiwan wakat wa mchakato wa katiba hawa ukawa. Mbwa kabisa.

wewe huna akili hata kidogo wapumbavu wa ccm ndio walikuwa wanagawa watu.mpaka prof.lipumba akawaita interahamwe ccm na ukawa wakasusia bunge kwa lugha za ubaguzi za wanaccm,yaani wewe pumbavu hujui lolote.
 
Back
Top Bottom