Wanajipa vyeo eti makanali majenerali sijui nini na nini hawana lolote hawa watu ni waroho wa mali na madaraka wakubwa. Kwao haki ni wao kutawala siasa na uchumi. Kwanza nani kawapa hivyo vyeo kama sio propaganda zao. Jeshi la kitutsi lazima liangamizwe kwa sababu ni hatari kwa amani ya eneo la maziwa makuu. Ikibidi kagame kuvurumishwa kama ilivyofanyika kwa idi amin basi ifanyike sio watu fulani kuunda jeshi la kikabila ili kukamata madaraka kwa maslahi yao binafsi. Kila leo wanasingizia genocide genocide na kila anayewaambia adui yao mkubwa ni uroho wa madaraka wanamwita genocider na matusi mengine. Juzi jk kawaambia waongee na wapinzani wao kupata amani ya kudumu wamemtukana wanamwita genocide sympathiser. Hiyo genocide ndio imekua kama itikadi yao kutafuta huruma ili kuendeleza udikteta wao.