Picha za simu

Chizoba_CzB

Member
Joined
Dec 13, 2019
Posts
86
Reaction score
98
Ni matumaini yangu uko salama na mzima wa afya na kama sio mzima wa afya basi Mungu wangu akulinde na akujulie afya njema
.
Tumwombe Mungu atuepushe na hili janga la corona,tuwaombee wagonjwa na waliotangulia mbele za haki.

Leo piaa Ndugu zangu nimependa kushare picha za simu picha hizi nimepiga kwa simu na editing zimefanyika kwa simu pia.
Napiga picha za simu ndio hobby yangu baada ya majukumu yangu ya kazi zingine basi napenda kwenda location na kupiga picha.

Simu ninayotumiaa ni
Samsung S6 edge Plus na apps ninazotumia katika editing ni
Picart,Lr,Snapseed,Shotogrid,Toolwiz na Vsco.

So Karibu sana nakaribisha comments,likes,kama utapenda tujifunze wote unaweza nicheki tu karibu sana tupeane ujuzi.

 

Attachments

  • PhotoGrid_1589894048369.jpeg
    52.6 KB · Views: 7
Mkuu nisaidie kujua unatumia app gani kufanya editing na kuweka hizo signature.

Natumia hizi high end ila ni mshamba sana kwenye hayo mambo.

Naona umetumia s6 kufanya editing kali mimi nina note 10 plus hapa hayo siyajui.

Natanguliza shukrani.
 
Soma hapo mwanzo.mkuu nmeeleza kila kitu simu ninayotumia na apps zote ninazotumia
Mkuu nisaidie kujua unatumia app gani kufanya editing na kuweka hizo signature.

Natumia hizi high end ila ni mshamba sana kwenye hayo mambo.

Naona umetumia s6 kufanya editing kali mimi nina note 10 plus hapa hayo siyajui.

Natanguliza shukrani.
 
Soma hapo mwanzo.mkuu nmeeleza kila kitu simu ninayotumia na apps zote ninazotumia
H i z
Soma hapo mwanzo.mkuu nmeeleza kila kitu simu ninayotumia na apps zote ninazotumia
Hizo za blur background umetumia app gani kati ya hizo?

Simu yangu ina built in blur background capability ila nataka kuifanya iwe nzuri zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…