KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,569
- 21,081
- Thread starter
- #121
Nani wa kulaumiwa hapo dada yangu kipenziZiwa lote hilo halafu tunasikia wakazi wanaolizunguka hawana maji ya kutosha na ni masikini.
Hakika umasikini wetu ni wa akili.
Wanaoishi kando ya ziwa, wamengoja zaidi ya miaka 60 je Mzanzibari kuwafunguwa akili? Mradi alioanzisha mama Samia, anachukuwa maji hapo hapo na mengine anayafikisha Dodoma.Nani wa kulaumiwa hapo dada yangu kipenzi
Ova
Wewe una budget ya kufanya mradi wa maji? Cha kulaumiwa ni sera mbovu za Chama Cha MapinduziWanaoishi kando ya ziwa, wamengoja zaidi ya miaka 60 je Mzanzibari kuwafunguwa akili? Mradi alioanzisha mama Samia, anachukuwa maji hapo hapo na mengine anayafikisha Dodoma.
Halafu unauliza nani wa kulaumiwa? Hakika Tanzania, hususan wa bara huku, adui yetu ni mmoja tu: