Picha za kustaajabisha

Picha za kustaajabisha

Ila nadhani ni uoga tu tata.
Kama wamasai wanaweza kuwafukuza simba zaidi ya 5 na kuchukua nyama, kwanini hawa washindwe kusimama kwa umoja mbele ya dubu?

Hahaa! Inahitaji moyo wa kivita lakini.

Hile crip niliona, but unajua kun wanyama wakorofi kuliko simba…?
 
Asante kwa elimu mkuu! Hawa wanyama kwa wenzetu ndo maana wanafanya mambo mengine mazito sana ambayo binadamu anayafanya. Sisi huku mnyama kalelewa katika mazingira ambayo si rafiki kabisa na binadamu. Nadhani ni ukosefu wa elimu tu ndo tatizo linalotusumbua na hivyo kupelekea kuishi na wanyama kinyama sana..
Ukosefu wa elimu ni kweli lakini pia huwa hatuamini sana science kiasi kwamba tunashindwa kujaribu, just imagine watu wana dive wanacheza na papa chini ya maji si suala la mchezo, wanawasoma wanyama tabia zao kisha wanaanza ku dive kwenye maeneo yao. Yaani hata uienda kwenye hifadhi zetu za Taifa ni kielelezo tosha kuhusu hili kwani magari yanapita karibu na wanyama kikubwa ni kusimama na kuzima gari au kwenye zile picnic site za humo humo mbugani unakuta mnashuka alafu wanyama wanakuwa mita 100 kutoka hapo mlipo na wala hawakimbii (hii inaonyesha kabisa kwamba kumbe hawa viumbe ni watulivu kama ukienda nao kitulivu)
 
Hile crip niliona, but unajua kun wanyama wakorofi kuliko simba…?

Kweli mkuu kuna wanyama ni wakorofi aisee, simba yupo cool sana especially kama anaishi maeneo ambayo kuna malisho ya kutosha acha wale wanaoishi jirani na makazi ya watu maana wamezoea kutimuliwa na wananchi hivyo walishazoea na kujua kwamba binadamu ni adui yao , lakini simba wa katikati ya nyika kwenye malisho ya kutosha kama ikatokea umekutana nae porini paa ni kuomba mungu akupe ujasiri wa kumkodolea mimacho huku unakunja kona away kutoka hapo alipo kikubwa usimpe kisogo huwa hawana ujasiri wa kumvamia mnyama kwa mbele
 
mkuu Excel walio mahiri zaidi ni wapi? ni wapiga picha au wapiga picha waliowapiga wapiga picha?

Mie naona wote aisee hasa huyo aliempiga picha mtoto ambae anampiga picha mambo (kama mimi picha ingetoka iliyoweweseka yaani imekaa kiajabu ajabu tu kwa kutetemeka)
 
Kweli mkuu kuna wanyama ni wakorofi aisee, simba yupo cool sana especially kama anaishi maeneo ambayo kuna malisho ya kutosha acha wale wanaoishi jirani na makazi ya watu maana wamezoea kutimuliwa na wananchi hivyo walishazoea na kujua kwamba binadamu ni adui yao , lakini simba wa katikati ya nyika kwenye malisho ya kutosha kama ikatokea umekutana nae porini paa ni kuomba mungu akupe ujasiri wa kumkodolea mimacho huku unakunja kona away kutoka hapo alipo kikubwa usimpe kisogo huwa hawana ujasiri wa kumvamia mnyama kwa mbele

Sasa kutana na Chui, huone
 
Sasa kutana na Chui, huone

Jamaa yangu mmoja alishukiwa na chui kutoka juu ya mti, yeye alikuwa kwenye kibanda fulani hivi akiwa analinda, juu ya walk way. Kwa vile jamaa alikuwa amelala, hakuona ujio wa chui kabisa. Yule chui bwana, kama kawaida kwa mwendo wa kunyata, kamsogelea karibu kabisa halafu akalala mbele yake kama hatua 3 hivi akawa anamuangalia.

Jamaa bwana si akashituka kutoka usingizini, hana hili wala lile! hahahaaa! Kucheki mbele na macho ya maluwe luwe kamcheki mnyama! Aisee hio siku sitoisahau maana wafanyakazi karibu hoteli nzima walijua kuna binadamu anakaribia kukata roho hukoo upande wa pili..

Maskini mnyama alikuwa mpole tu, ranger kafanya mambo chui karudi porini!
Siku hiyo jamaa hakutulia kabisa mpaka kunakucha..
 
Jamaa yangu mmoja alishukiwa na chui kutoka juu ya mti, yeye alikuwa kwenye kibanda fulani hivi akiwa analinda, juu ya walk way. Kwa vile jamaa alikuwa amelala, hakuona ujio wa chui kabisa. Yule chui bwana, kama kawaida kwa mwendo wa kunyata, kamsogelea karibu kabisa halafu akalala mbele yake kama hatua 3 hivi akawa anamuangalia.

Jamaa bwana si akashituka kutoka usingizini, hana hili wala lile! hahahaaa! Kucheki mbele na macho ya maluwe luwe kamcheki mnyama! Aisee hio siku sitoisahau maana wafanyakazi karibu hoteli nzima walijua kuna binadamu anakaribia kukata roho hukoo upande wa pili..

Maskini mnyama alikuwa mpole tu, ranger kafanya mambo chui karudi porini!
Siku hiyo jamaa hakutulia kabisa mpaka kunakucha..

Hahaha, mkuu. Chui muache kama alivyo, huyu anatabia hata kama hana njaa anaweza kukufata anafunua ngovi ya uso na kusepa. Labda huyo amezoea kuona watu hapo around
 
Hahaha, mkuu. Chui muache kama alivyo, huyu anatabia hata kama hana njaa anaweza kukufata anafunua ngovi ya uso na kusepa. Labda huyo amezoea kuona watu hapo around
Hahahaa! Ni kweli mkuu. Hawa viumbe wana asili ya ukorofi.
Ila walikuwa na mazoea tu ya kuwa karibu na kutuona ona sana pale mbugani.
Mimi nilishawahi kukumbana na uso kwa uso NYATI usiku alfajiri aisee! Hapo ndipo nilipoamini kuwa, nywele za mwanadamu zina asili fualni hivi ya uchawi uchawi na kama usipofuata hisia za nywele, unaweza kukumbana na madhara..

Kwa kweli ilikuwa bahati tu na Mungu kunilinda, yule mnyama alikuwa ameshaniona toka nikiwa mbali, sasa mimi nikawa naenda tu, nilipohisi kitu kwa nywele kusisimka sana, nikabadili njia, kumbe njia niliyoichukua sasa, ilikuwa 'wrong turn'!!!

Yani kama si kwa msaada wa LED LIGHT TORCH kumulika gizani, Excel asingalikuwa JF wala duniani hapa. dah! kila nikikumbuka sometimes nacheka..
 
Last edited by a moderator:
Ila hata mdada alienyanyua miguu juu katisha maana ukimwangalaia kwa makini utaona kama angelala kifudifudi namna ya kuji balance hasa kichwa na kifua kupata pozi vizuri huku kamera imenyooka ingekuwa shida
 
Hahahaa! Ni kweli mkuu. Hawa viumbe wana asili ya ukorofi.
Ila walikuwa na mazoea tu ya kuwa karibu na kutuona ona sana pale mbugani.
Mimi nilishawahi kukumbana na uso kwa uso NYATI usiku alfajiri aisee! Hapo ndipo nilipoamini kuwa, nywele za mwanadamu zina asili fualni hivi ya uchawi uchawi na kama usipofuata hisia za nywele, unaweza kukumbana na madhara..

Kwa kweli ilikuwa bahati tu na Mungu kunilinda, yule mnyama alikuwa ameshaniona toka nikiwa mbali, sasa mimi nikawa naenda tu, nilipohisi kitu kwa nywele kusisimka sana, nikabadili njia, kumbe njia niliyoichukua sasa, ilikuwa 'wrong turn'!!!

Yani kama si kwa msaada wa LED LIGHT TORCH kumulika gizani, Excel asingalikuwa JF wala duniani hapa. dah! kila nikikumbuka sometimes nacheka..

mkuu, nikwambie kuwa ukikutana na kundi la nyati, unawaswaga kama Ngo'ombe tu. Ila akiwa mmoja ndo mziki
 
Mkuu nilikuwa nawaza endapo Bongo movie wangepata mashine kama hizi, wangeweza kweli kutengeneza movie kali? Au movie si kamera pekee?

Bongo movie hawana tatizo la camera ila ni set up ya movie industry nzima
 
Back
Top Bottom