Dogo katisha, kawazidi wote!Nyota njema huonekana asubuhi...
![]()
sidhani kama aliponaNyota njema huonekana asubuhi...
![]()
Mdau huyu ndo kiboko yao kudadadeki anaitwa al ustadh bin shudal bin noor bin safari bin waaatahyatu izaya mtoka pabaya yuko nangadi huko sidade de nampula
Hahahaa! inafurahisha sana!
Nimejiuliza sana nini kiliendelea!
Hivi kama wangesimama kwa umoja kweli huyo mnyama angewadhuru?
Kibongo bongo ni mara chache sana kukuta ndege anatua kwenye mwili wa mtu hivi hivi..
We are not animal/birds friendly sana..
Asante kwa elimu mkuu! Hawa wanyama kwa wenzetu ndo maana wanafanya mambo mengine mazito sana ambayo binadamu anayafanya. Sisi huku mnyama kalelewa katika mazingira ambayo si rafiki kabisa na binadamu. Nadhani ni ukosefu wa elimu tu ndo tatizo linalotusumbua na hivyo kupelekea kuishi na wanyama kinyama sana..Kweli maana hata tukifuata na nyuki mmoja tunavyomfukuza mpaka basi wakati wataalamu wanakuambia unamwacha tu anatambaa mwenyewe alafu anaondoka bila kukudhuru na the same kwa wanyama pori hutakiwi kumpiga zaidi ya kumfukuza kidiplomasia maana ukimpiga tu tayari anajua adui yake ni binadamu na ndio maana wazee wa wanyama pori kama watamjeruhi mnyama watahakikisha wanamtafuta mpaka wanamuua vingine atakuwa ni mnyama wa visasi