Wed
JF-Expert Member
- Mar 7, 2011
- 315
- 266
View attachment Picha za kusikitisha.doc
Ndugu Watanzania. Kwa uchungu sana nimeangalia hizi picha. Nikajiuliza, hivi kweli ni serikali yetu imetufikisha hapa ?. Je, haya ndiyo matunda ya miaka 50 ya Uhuru ?? Je, haya ndiyo mafanikio ya Tanzania chini ya CCM ?
Nasikia ati Siku chache zijazo, serikali ya Kikwete na mafisadi wake CCM watatumia ma-bilioni ya shilingi kufanya sherehe za miaka 50 ya uhuru. Bila aibu Watawaalika viongozi matajiri kutoka dunia nzima kuwadangaya kwamba Tanzania ni nchi huru na imepata mafanikio mengi kwa kuwa chini ya CCM. Watasema ati tuna-amani !!!! Kama amani ndiyo hii, natumaini tunahitaji kujaribu chama kingine !!! Je, CHADEMA tukiwapa nchi : je mnaweza kuyabadili maisha haya duni ya watanzania ???
Ndugu Watanzania. Kwa uchungu sana nimeangalia hizi picha. Nikajiuliza, hivi kweli ni serikali yetu imetufikisha hapa ?. Je, haya ndiyo matunda ya miaka 50 ya Uhuru ?? Je, haya ndiyo mafanikio ya Tanzania chini ya CCM ?
Nasikia ati Siku chache zijazo, serikali ya Kikwete na mafisadi wake CCM watatumia ma-bilioni ya shilingi kufanya sherehe za miaka 50 ya uhuru. Bila aibu Watawaalika viongozi matajiri kutoka dunia nzima kuwadangaya kwamba Tanzania ni nchi huru na imepata mafanikio mengi kwa kuwa chini ya CCM. Watasema ati tuna-amani !!!! Kama amani ndiyo hii, natumaini tunahitaji kujaribu chama kingine !!! Je, CHADEMA tukiwapa nchi : je mnaweza kuyabadili maisha haya duni ya watanzania ???