Haitakaa itokee eti mtu amefa alafu kabembea kwenye grill wakati inaonyesha kajizuia na mguu!! Na huyo alojiwekea shoka shingoni kwanza ametanguliza hapo nyama ( sijui ya kitimoto) alafu eti anaweka shoka aonekane amekatwa!!huyo wa mkokoteni ingekuwa kafa huo mguu ninavyojua mtu akifa hua analegea sana na watati anakata roho mziki wake mguu isingebaki juu hivyo!!labda walikufa alafu wakabebwa wakaenda kutegeshewa hivyo!!ila siamini kama wamefia hapo hapo kama walivyo!!
Hapa kinachotafutwa ni hela tu ila watapata vyote hela na kifo. Kifo hakiigizwi kina mapepo yakigundua tu yanafanya urafiki na weweMkuu kisa au sababu ya wao kufanya hivyo ni nini?
wa stendi kwani wewe ulishawahi kufa?Haitakaa itokee eti mtu amefa alafu kabembea kwenye grill wakati inaonyesha kajizuia na mguu!! Na huyo alojiwekea shoka shingoni kwanza ametanguliza hapo nyama ( sijui ya kitimoto) alafu eti anaweka shoka aonekane amekatwa!!huyo wa mkokoteni ingekuwa kafa huo mguu ninavyojua mtu akifa hua analegea sana na watati anakata roho mziki wake mguu isingebaki juu hivyo!!labda walikufa alafu wakabebwa wakaenda kutegeshewa hivyo!!ila siamini kama wamefia hapo hapo kama walivyo!!