Picha Za Afrika Mashariki Nyakati Zile

mwaswast

JF-Expert Member
May 12, 2014
12,777
6,454
Hapa zipo picha kadhaa, mnaweza changia pia.
Screenshot_2016-12-08-18-42-21.png
Screenshot_2016-12-08-18-42-21.png
Njenga 20160909_194309.jpg
161446_0fdd26bd68341d9c752a23edbd74a914.jpg
Screenshot_2016-12-08-18-42-21.png
Njenga 20160909_194309.jpg
160034_01e2821b5ecbe89cc63195cb3b988649.jpg
160034_01e2821b5ecbe89cc63195cb3b988649.jpg
 

Attachments

  • 161437_df1340208ab992c6ddd195e162fd82a7.jpg
    161437_df1340208ab992c6ddd195e162fd82a7.jpg
    71.3 KB · Views: 38
  • 161438_58d49eccca9684e38cae75dd6fcb4c5f.jpg
    161438_58d49eccca9684e38cae75dd6fcb4c5f.jpg
    48.4 KB · Views: 29
  • 161436_ac1b5c08aa9db8818223be733d399d0b.jpg
    161436_ac1b5c08aa9db8818223be733d399d0b.jpg
    84.8 KB · Views: 27
  • 160026_b8e843575977dd0f773a7f914fac0886.jpg
    160026_b8e843575977dd0f773a7f914fac0886.jpg
    51.6 KB · Views: 27
  • 160086_b9e42bfb3ab2df484a265717cde4d1b7.jpg
    160086_b9e42bfb3ab2df484a265717cde4d1b7.jpg
    59.9 KB · Views: 26
Kukaa uchi ndio tamaduni yetu
Afu mi najiuliza sazee wa zamani walivumiliaje hivo vi dada kukaa hivo
 
Kukaa uchi ndio tamaduni yetu
Afu mi najiuliza sazee wa zamani walivumiliaje hivo vi dada kukaa hivo
walivumilia bila shida, ila nyie wa sasa mkikaa wanaume wenyewe tu hivyo bila nguo, mmoja bahati mbaya akaangusha fimbo yake kisha ainame mbele yenu aokote fimbo yake wote mnadinda mkiona tundu haja lake.
 
walivumilia bila shida, ila nyie wa sasa mkikaa wanaume wenyewe tu hivyo bila nguo, mmoja bahati mbaya akaangusha fimbo yake kisha ainame mbele yenu aokote fimbo yake wote mnadinda mkiona tundu haja lake.
Mhhhh!!!!!
 
walivumilia bila shida, ila nyie wa sasa mkikaa wanaume wenyewe tu hivyo bila nguo, mmoja bahati mbaya akaangusha fimbo yake kisha ainame mbele yenu aokote fimbo yake wote mnadinda mkiona tundu haja lake.
Hahahaha
 
screenshot_2016-12-08-18-42-21-png.835804


njenga-20160909_194309-jpg.835805

Mungu kweli Anamakusudio yake. Kwenye picha hii hao watu wanne wa kulia ndio wamewahi kua maraisi wa Kenya
Hapo kuna Rais wa kwanza wa Jamhuri ya watu wa Kenya Mzee Jomo Kenyatta akiwa amemshika mwanae ambaye ndiye Rais wa sasa wa Kenya

Kulia kwake kuna Mwai Kibaki ambaye alikua Rais wa Kenya kabda ya Uhuru

Nyuma Yake yupo Daniel Toroitich Arap Moi aliyekua Rais wa pili wa Kenya baada ya Mzee Kenyatta

Kumbe mambo haya kwa wenzetu yanapangwa, mtu hawi Rais kimchezomchezo au kubahatisha!
 
Back
Top Bottom