Picha yenye kufikirisha mno

Picha yenye kufikirisha mno

Toeni wivu wa kishamba...

Kwahiyo watu wasifanye yao kisa kuna wenye njaa?
Inawezekana uvivu wako ndo mtaji wa mwenzio.
 
Toeni wivu wa kishamba...

Kwahiyo watu wasifanye yao kisa kuna wenye njaa?
Inawezekana uvivu wako ndo mtaji wa mwenzio.

Kwenye msafara wa mamba kenge pia wamo
 
Toeni wivu wa kishamba...

Kwahiyo watu wasifanye yao kisa kuna wenye njaa?
Inawezekana uvivu wako ndo mtaji wa mwenzio.

Unaweza kuta mzazi wako anateseka huko matombo,umejisahau sababu ya mdosho wa jeans ulonunuliwa na bosi wako kwa kazi ya kulisha ng'ombe
 
picha inareflect umaskin!
wananchi tulio wengi tunailalamikia serikali! embu fikiria juhudi binafsi katika suhala zima la maendeleo huleta nin?
tukikaa kila kitu kusogezewa mdomoni ni vigumu wewe sio kinda la ndege tambua hii ni nchi inayoendekea kwaiyo juhudi+maarifa ndo nguzo kuu katika maendeleo.
fikiria mtoto anakosa hata kikombe chabkunywea maji ya kunywa hiivinatokana na uzembe wa wazazi waje sidhan kama juhudi na maarifa yangetumika ipasavyo hii picha ingepigwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom