Herbalist Dr MziziMkavu Platinum Member Joined Feb 3, 2009 Posts 43,073 Reaction score 34,844 Jul 3, 2023 #1 Hebu niambie ukweli jinsi ugumu wa maisha yako unavyolalamika na unayachukia maisha yako jinsi alivyokupangia mungu. Halafu uje ufananishe na huyu mtoto maisha yake jinsi yalivyo. Je muko sawa na wewe unayelalamika ovyo?
Hebu niambie ukweli jinsi ugumu wa maisha yako unavyolalamika na unayachukia maisha yako jinsi alivyokupangia mungu. Halafu uje ufananishe na huyu mtoto maisha yake jinsi yalivyo. Je muko sawa na wewe unayelalamika ovyo?
Zeus1 JF-Expert Member Joined Aug 24, 2017 Posts 7,325 Reaction score 9,532 Jul 3, 2023 #2 Hii picha nimeangalia kwa muda mrefu sana,nimetafakati vitu vingi sana aisee.
Herbalist Dr MziziMkavu Platinum Member Joined Feb 3, 2009 Posts 43,073 Reaction score 34,844 Jul 3, 2023 Thread starter #3 Zeus1 said: Hii picha nimeangalia kwa muda mrefu sana,nimetafakati vitu vingi sana aisee. Click to expand... Kuna kitu umejifunza hapo Mkuu?
Zeus1 said: Hii picha nimeangalia kwa muda mrefu sana,nimetafakati vitu vingi sana aisee. Click to expand... Kuna kitu umejifunza hapo Mkuu?
EINSTEIN112 JF-Expert Member Joined Oct 26, 2018 Posts 21,709 Reaction score 35,712 Jul 3, 2023 #4 Bora wewe umejiajiri kwenye UGANGA 🤣🤣🤣