Picha ya Virgin Mary yatokea ukutani Finland

Picha ya Virgin Mary yatokea ukutani Finland

Monstgala

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2009
Posts
1,079
Reaction score
1,037
neitsytmariajuttu0708LL_503_uu.jpg
'

Huko Finland katika mji wa Hameenliina image hii inayofananishwa na Virgin Mary imetokea ukutani na jamaa mwenye nyumba alifanikiwa kupata picha mbili. Kabla ya picha hiyo kutokea kulikuwa na hali ya radi na msisimko na paka wa mwenye nyumba alitimua mbio na kujificha. Kwa habiri zaidi Neitsyt Maria ilmestyi ladon seinään Hämeenlinnassa - Katso kuva! | Kotimaan uutiset | Iltalehti.fi.
 
Mary Mother of God, utuombee sisi wakosefu
 
Kama si usanii, basi ni ushirikina tu huo wapendwa!

Mbarikiwe!
 
<img src="http://static.iltalehti.fi/uutiset/neitsytmariajuttu0708LL_503_uu.jpg" border="0" alt="" />'<br />
<br />
Huko Finland katika mji wa Hameenliina image hii inayofananishwa na Virgin Mary imetokea ukutani na jamaa mwenye nyumba alifanikiwa kupata picha mbili. Kabla ya picha hiyo kutokea kulikuwa na hali ya radi na msisimko na paka wa mwenye nyumba alitimua mbio na kujificha. Kwa habiri zaidi <a href="http://www.iltalehti.fi/uutiset/2011080714171866_uu.shtml?ref=leiki" target="_blank">Neitsyt Maria ilmestyi ladon seinään Hämeenlinnassa - Katso kuva! | Kotimaan uutiset | Iltalehti.fi</a>.
<br />
<br />
Neno la Mungu linasema, amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, amfanyaye kuwa NGAO na KINGA ya MAISHA YAKE.
 
Neno la Mungu linasema, amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, amfanyaye kuwa NGAO na KINGA ya MAISHA YAKE.

Mwingine wk hii ametoa kuwa kondoo mwenye maandishi ya Quran amezaliwa cjui wapi hapa Tz, watu wakaanza kumrukia na kuponda, sasa na wao wakianza kuponda hii ni nani atakuwa sahihi?

NOTE: I am NOT religious but I love and respect everyone though I am NOT AFRAID of ANYONE except Amighty GOD!
 
<br /><br />
<br /><br />
Neno la Mungu linasema, amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, amfanyaye kuwa NGAO na KINGA ya MAISHA YAKE.
<br />
<br />
Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, amfanyaye mwanadamu kinga yake, moyoni amemwacha bwana!
 
<img src="http://static.iltalehti.fi/uutiset/neitsytmariajuttu0708LL_503_uu.jpg" border="0" alt="" />'<br /><br />
<br /><br />
Huko Finland katika mji wa Hameenliina image hii inayofananishwa na Virgin Mary imetokea ukutani na jamaa mwenye nyumba alifanikiwa kupata picha mbili. Kabla ya picha hiyo kutokea kulikuwa na hali ya radi na msisimko na paka wa mwenye nyumba alitimua mbio na kujificha. Kwa habiri zaidi <a href="http://www.iltalehti.fi/uutiset/2011080714171866_uu.shtml?ref=leiki" target="_blank">Neitsyt Maria ilmestyi ladon seinään Hämeenlinnassa - Katso kuva! | Kotimaan uutiset | Iltalehti.fi</a>.
<br /><br />
<br /><br />
Eti bana, hivi kila mwanga<br />
unaoakisiwa mfano kwenye<br />
kioo cha gari kama<br />
inavyoonesha kwenye picha<br />
hiyo hapo juu, ni Mtakatifu Maria ?
 
tunakimbilia ulinzi wako.... Malizienh mnaojua.&#8626;Mbona hatokei mtera maji yajae?
 
Huko Finland katika mji wa Hameenliina image hii inayofananishwa na Virgin Mary imetokea ukutani na jamaa mwenye nyumba alifanikiwa kupata picha mbili. Kabla ya picha hiyo kutokea kulikuwa na hali ya radi na msisimko na paka wa mwenye nyumba alitimua mbio na kujificha.

Hivi kwanini tufananishe sura unayoiona kwa mara ya kwanza na sura ambayo hujawahi kuiona? Hilo lilikuwa shetani tu.

Lakini pia naweza kuuliza, je, mwanamke aliyezaa watoto zaidi ya watatu anaweza kuendelea kuitwa bikira?
 
Kama huamini ni vyema ukanyamaza kuliko u comment yasiyopendeza waaminio. Ave Maria.
 
Labda macho yangu hayaoni vizuri, sioni mtu wala huyo virgin Marry. And im sorry for those who believe in her, kwani kama picha yake ikionekana ndo inakuwaje?
 
Ukiambiwa yuko huku !wala usikimbilie kule,maana utakuwa unadanganywa,tulia ulipo,msubirie mwokozi,maana ni kipindi cha manabii wa uongo,but note that the world is about to end
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom