Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Itakuwa TANESCO wamekata umeme....
Hahaaaaaaa wamesharudisha sa hivi naona....
Itakuwa TANESCO wamekata umeme....
jamiif hauwezi kua mshamba kwa jinsi ulivyodadavua hapo.
Ni kweli hizo kuta za orange zinaonyesha trench imechimbwa kwa kuelekea chini ya aridhi.
Hahaaaaaaa wamesharudisha sa hivi naona....
hapa wapi jombaaa?
Kuna tunnel chini ya maji mkuu...hii sijaielewa..ina maana hizo gari zinazotokea huko upande wa kulia ndio zinapita chini ya maji ili kutokezea huko kushoto au? nielewesheni wakuu mi mshamba..
Hili jengo mbona kama linaelea hewani?
Kuna tunnel chini ya maji mkuu...
Hili jengo mbona kama linaelea hewani?
hii ni nzuri sana lakini it's an artistic expression or proposed to be built, au sio?