Picha ya siku

Bashiru anawaza nini?

  • Haamini anachosikia

  • Anahuzunika moyoni


Results are only viewable after voting.
Nje ya mada wakuu. Hivi aliyekua waziri wa ujenzi wa mwisho wa JPM ndugu chamuliro yupo wapi? Aliondolewa na ubunge pia au?
 
Hahaha muacheni apiganie supu yake, aliwahi fukuzwa ccm aliteseka sana na MBA yake.

kulamba miguu hajaanza leo na haitakuwa mwisho wake.
 
Ukisikia kila zama na kitabu chale mwangalie Bashoru utapta majibu mujabuu
 
Bashiru anashiriki kuvuna alichokipanda, yeyee ndio alikua kwenye umoja wa kutengeneza hili bunge
 
Ukisikia kila zama na kitabu chale mwangalie Bashoru utapta majibu mujabuu
Bashiru anashiriki kuvuna alichokipanda, yeyee ndio alikua kwenye umoja wa kutengeneza hili bunge
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…