Ha ha ha haaaaaa... Yaani kila event jamaa yupo, usikute ofisi yake na Mh ziko mkabala.
ACT akijawahi kuwa chama cha upinzani, bali ni tawi la sisiemACT kwisha habari yao
Anapokea ilani ya chama chake.Mkuu nimemtambua ila hicho anachokabidhiwa duh mpaka jamaa wanashangilia
Sasa ile ya ACT tupa kule au ndo nini hapo
..mama wa watu kaulaa afu tena kule kilimanjaroooo
Umejibu vyemaMkuu nimemtambua ila hicho anachokabidhiwa duh mpaka jamaa wanashangilia
Sasa ile ya ACT tupa kule au ndo nini hapo