Good stuff. Staying peacefully after successfully leading your country is beautiful.View attachment 503415
Mheshimiwa Rais Mstaafu wa awamu ya nne Mzee Kikwete akiwa amepumzika nyumbani kwake.
Mkuu ingekuwa nyumba ndogo hapo lazima ungeona mapochopocho, wazee wa pwani wanapenda sana mapochopochoMbona nyumba mdogo sana!Vitu vimebanana kiasi hicho?Au yuko kwa nyumba mdogo maana hawa wazee wasikie tu,hili la mama Salma kuteuliwa ubunge,kwa mheshimiwa ni bonge la gap,hana stress hapo hata kidogo!
Ya nini stress.. Yeye mzigo ameutuaMbona kama anastress?
Anaweza akawa ameutua, ishu ni kuwa umeutuwa sehemu Salama, kuna faida gani umebeba mzigo muda mrefu halafu unautua kwenye motoYa nini stress.. Yeye mzigo ameutua
Anga anaweza akakata muda wowote akijisikia, connection yake kimataifa ni kubwa Sizonje.Naona kaumiss uprezidaa,kunyuka suti na kukata anga!!
Maneno mazito sana haya.. Yawezekana mzigo ilikuwa utue kule LindiAnaweza akawa ameutua, ishu ni kuwa umeutuwa sehemu Salama, kuna faida gani umebeba mzigo muda mrefu halafu unautua kwenye moto
Teh teh teh. Ebwahahahahaha. Nimecheka kwa sauti.Mbona nyumba mdogo sana!Vitu vimebanana kiasi hicho?Au yuko kwa nyumba mdogo maana hawa wazee wasikie tu,hili la mama Salma kuteuliwa ubunge,kwa mheshimiwa ni bonge la gap,hana stress hapo hata kidogo!
Successfully leading the country or county? Is looting,torturing,embezzlement and causing social strife ( preventing opponents from attending burial funerals) a success? Poor tzs!Good stuff. Staying peacefully after successfully leading your country is beautiful.
Kweli nami nlitaka niseme hilo la nyumba kubanana, uzuri wa nyumba space! Ila hilo la gape la mama salma nimecheka saanaa.....ictoshe alimuombea kwa sizonje ili yy abaki free!Mbona nyumba mdogo sana!Vitu vimebanana kiasi hicho?Au yuko kwa nyumba mdogo maana hawa wazee wasikie tu,hili la mama Salma kuteuliwa ubunge,kwa mheshimiwa ni bonge la gap,hana stress hapo hata kidogo!