Pouwa... ngoja waje wataalamuMhhh Mbona kama Mali za Akina Rockefeller Family vile.
Nenda High Spirit usiku utaona view nzuri zaidi ya hioMommh! Sijui, ila Mimi ni popo mzuri Sana sijawahi kutana na mandhari nzuri hivyo! Yaani kwa wiki naweza kurudi home saa Tisa hata Mara 3 kwa week, na maeneo ninayopita Ndio hayo hayo ! Umenimaliza na huo mtaa wa posta mpya! Sijawahi ona barabara ikiwaka hivyo, na zaidi hapo Mbele Kama unakaribia maktaba ya taifa hamna Kona ya hivyo!
Sawa Mkuu! Nitaenda, na Mimi nitapiga zangu halafu tuje tulinganishe!Nenda High Spirit usiku utaona view nzuri zaidi ya hio
Ikifika usiku anakuwa mzungu au mchina mkuu?Yani kuna mademu wengine ukionana nae usiku unakataa kama ukiambiwa ndiye yule aliyekua akifua nguo asubuhi pale Buguruni kwa Malapa, sasa ni sawa na hii ya jiji la Dar. Maana inavutia hatari, sasa nenda mchana lol....
Wewe huwa unapita chini. Hii picha ni oblique. Kama umewahi kuangalia ukiwa kwenye ndege ndo ungeleta ubishi mzuri.Mommh! Sijui, ila Mimi ni popo mzuri Sana sijawahi kutana na mandhari nzuri hivyo! Yaani kwa wiki naweza kurudi home saa Tisa hata Mara 3 kwa week, na maeneo ninayopita Ndio hayo hayo ! Umenimaliza na huo mtaa wa posta mpya! Sijawahi ona barabara ikiwaka hivyo, na zaidi hapo Mbele Kama unakaribia maktaba ya taifa hamna Kona ya hivyo!
Aiyaaaaaaaaaa, usiku hiyo mipoda na mipafyumu yani unaweza tangaza ndoa bila kupenda jembe langu.Ikifika usiku anakuwa mzungu au mchina mkuu?
Kwa Ndege nilishaoziona Sana I'll kwa bahati mbaya Sana Mara zote ilikua mchana! Usiku sijawahi! Ngoja niandae mazingira ya kuingia Dar usiku.Wewe huwa unapita chini. Hii picha ni oblique. Kama umewahi kuangalia ukiwa kwenye ndege ndo ungeleta ubishi mzuri.
ONYO: HATA MIMI SIZIAMINI HIZI PICHA.
Mommh! Sijui, ila Mimi ni popo mzuri Sana sijawahi kutana na mandhari nzuri hivyo! Yaani kwa wiki naweza kurudi home saa Tisa hata Mara 3 kwa week, na maeneo ninayopita Ndio hayo hayo ! Umenimaliza na huo mtaa wa posta mpya! Sijawahi ona barabara ikiwaka hivyo, na zaidi hapo Mbele Kama unakaribia maktaba ya taifa hamna Kona ya hivyo!