Allen Kilewella JF-Expert Member Joined Sep 30, 2011 Posts 25,176 Reaction score 48,460 Sep 1, 2025 #1 Edward Lowassa alikuwa ni mwanasiasa ambaye alikuwa na marafiki kutoka vyama vyote vya siasa. Lowassa alikuwa na marafiki ndani ya CCM na nje ya CCM. Lowassa aliwafanya mahasimu wa kisiasa kukaa pamoja. Jee nje ya urafiki wao na Lowassa , Freeman Mbowe, Zitto Kabwe,Hussein Bashe na Rostam Aziz maslahi yao kisiasa ni mamoja? Tundu Lissu kwenye hizi connection hayumo?
Edward Lowassa alikuwa ni mwanasiasa ambaye alikuwa na marafiki kutoka vyama vyote vya siasa. Lowassa alikuwa na marafiki ndani ya CCM na nje ya CCM. Lowassa aliwafanya mahasimu wa kisiasa kukaa pamoja. Jee nje ya urafiki wao na Lowassa , Freeman Mbowe, Zitto Kabwe,Hussein Bashe na Rostam Aziz maslahi yao kisiasa ni mamoja? Tundu Lissu kwenye hizi connection hayumo?
Pendaelli JF-Expert Member Joined Feb 13, 2014 Posts 12,105 Reaction score 35,140 Sep 1, 2025 #2 Sikuwahi kujua kumbe Bashe ni mwanamtandao! Zitto sina shaka nae kwa mujibu wa Polepole
Obama wa Bongo JF-Expert Member Joined May 10, 2012 Posts 5,448 Reaction score 4,980 Sep 1, 2025 #3 Mkubwa wa wahuni na wanae...... Don RA
Allen Kilewella JF-Expert Member Joined Sep 30, 2011 Posts 25,176 Reaction score 48,460 Sep 1, 2025 Thread starter #4 Pendaelli said: Sikuwahi kujua kumbe bashe ni mwanamtandao! Zito sina shaka nae including pole pole Click to expand... Hapo Polepole hayumo lakini!
Pendaelli said: Sikuwahi kujua kumbe bashe ni mwanamtandao! Zito sina shaka nae including pole pole Click to expand... Hapo Polepole hayumo lakini!
Lax JF-Expert Member Joined Feb 10, 2022 Posts 10,937 Reaction score 15,547 Sep 1, 2025 #5 Kwa mujibu wa polepole hapo kuna mmoja alimpa bahasha dereva taksi
binti kiziwi JF-Expert Member Joined Aug 4, 2014 Posts 13,167 Reaction score 34,613 Sep 1, 2025 #6 Ila Bashe! Uwezo wake wa kubadili gia angani ni mkubwa sana. Yeye na Msukuma Kasheku.
Pendaelli JF-Expert Member Joined Feb 13, 2014 Posts 12,105 Reaction score 35,140 Sep 1, 2025 #7 Allen Kilewella said: Hapo Polepole hayumo lakini! Click to expand... Naomba kurekebisha! Kwa mujibu wa polepole na si pamoja nae. Shida ya kuvamia lugha za watu.
Allen Kilewella said: Hapo Polepole hayumo lakini! Click to expand... Naomba kurekebisha! Kwa mujibu wa polepole na si pamoja nae. Shida ya kuvamia lugha za watu.
Allen Kilewella JF-Expert Member Joined Sep 30, 2011 Posts 25,176 Reaction score 48,460 Sep 1, 2025 Thread starter #8 Lax said: Kwa mujibu wa polepole hapo kuna mmoja alimpa bahasha dereva taksi Click to expand... Ina CODES na majina!!
Lax said: Kwa mujibu wa polepole hapo kuna mmoja alimpa bahasha dereva taksi Click to expand... Ina CODES na majina!!
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,105 Reaction score 165,329 Sep 1, 2025 #9 Rostam 🙌🙌
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 104,319 Reaction score 183,534 Sep 1, 2025 #10 Halafu wanamsingizia Anjela 🐼
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 104,319 Reaction score 183,534 Sep 1, 2025 #11 Pendaelli said: Sikuwahi kujua kumbe bashe ni mwanamtandao! Zito sina shaka nae kwa mujibu wa pole pole Click to expand... Bashe alikuwa mfanyakazi wa Rostam pale Habari house Sinza 😄😄
Pendaelli said: Sikuwahi kujua kumbe bashe ni mwanamtandao! Zito sina shaka nae kwa mujibu wa pole pole Click to expand... Bashe alikuwa mfanyakazi wa Rostam pale Habari house Sinza 😄😄
Chibolo JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 5,768 Reaction score 8,037 Sep 1, 2025 #12 Lax said: Kwa mujibu wa polepole hapo kuna mmoja alimpa bahasha dereva taksi Click to expand... Hivi ni nani ?? Mi sjamuelewa kabisa
Lax said: Kwa mujibu wa polepole hapo kuna mmoja alimpa bahasha dereva taksi Click to expand... Hivi ni nani ?? Mi sjamuelewa kabisa
Kijakazi Platinum Member Joined Jun 26, 2007 Posts 9,353 Reaction score 15,075 Sep 1, 2025 #13 ukiona mtu anatabasamu kwenye kuzika ujue ni psychopath au kwa tafsiri nyingine anafurahia, angalia picha ...
ukiona mtu anatabasamu kwenye kuzika ujue ni psychopath au kwa tafsiri nyingine anafurahia, angalia picha ...
Dkisaka JF-Expert Member Joined Aug 5, 2018 Posts 907 Reaction score 2,619 Sep 1, 2025 #14 Kwa mujibu wa Polepole hawa ni wamachama wa mtandao . Kwa mujibu wa Mengi Rostam ndo fisadi No. 1
Allen Kilewella JF-Expert Member Joined Sep 30, 2011 Posts 25,176 Reaction score 48,460 Sep 1, 2025 Thread starter #15 Kijakazi said: ukiona mtu anatabasamu kwenye kuzika ujue ni psychopath au kwa tafsiri nyingine anafurahia, angalia picha ... Click to expand... Kabisa... Ila ingawa Pascal Mayalla anasema Polepole hasemi yote, aliyokwisha kusema tayari yanaleta maana... Hata kama mtoto wa jicho (cataract) hajatoka, lakini angalau matongotongo yametoka.
Kijakazi said: ukiona mtu anatabasamu kwenye kuzika ujue ni psychopath au kwa tafsiri nyingine anafurahia, angalia picha ... Click to expand... Kabisa... Ila ingawa Pascal Mayalla anasema Polepole hasemi yote, aliyokwisha kusema tayari yanaleta maana... Hata kama mtoto wa jicho (cataract) hajatoka, lakini angalau matongotongo yametoka.
Lax JF-Expert Member Joined Feb 10, 2022 Posts 10,937 Reaction score 15,547 Sep 1, 2025 #16 Chibolo said: Hivi ni nani ?? Mi sjamuelewa kabisa Click to expand... Kiongozi mstaafu wa ccm b ~ subtitle by polepole
Chibolo said: Hivi ni nani ?? Mi sjamuelewa kabisa Click to expand... Kiongozi mstaafu wa ccm b ~ subtitle by polepole
Allen Kilewella JF-Expert Member Joined Sep 30, 2011 Posts 25,176 Reaction score 48,460 Sep 1, 2025 Thread starter #17 Lax said: Kiongozi mstaafu wa ccm b ~ subtitle by polepole Click to expand... Polepole mwaka huu atawatoa nyongo... Maana kila anayejibu anapewa majibu yake anatulia... Sijui Albert Msando aliishia wapi😃😆
Lax said: Kiongozi mstaafu wa ccm b ~ subtitle by polepole Click to expand... Polepole mwaka huu atawatoa nyongo... Maana kila anayejibu anapewa majibu yake anatulia... Sijui Albert Msando aliishia wapi😃😆
Lax JF-Expert Member Joined Feb 10, 2022 Posts 10,937 Reaction score 15,547 Sep 1, 2025 #18 Allen Kilewella said: Polepole mwaka huu atawatoa nyongo... Maana kila anayejibu anapewa majibu yake anatulia... Sijui Albert Msando aliishia wapi😃😆 Click to expand... NAam, hiki anachofanya polepole kwa sasa kila mtu akifanya, hata kama wasipotaka kutoka hapo ikulu ila mambo yatakwenda vizuri tu, Huyu slowslow ni mtu wa ndani kina msando watachemka tu🤣
Allen Kilewella said: Polepole mwaka huu atawatoa nyongo... Maana kila anayejibu anapewa majibu yake anatulia... Sijui Albert Msando aliishia wapi😃😆 Click to expand... NAam, hiki anachofanya polepole kwa sasa kila mtu akifanya, hata kama wasipotaka kutoka hapo ikulu ila mambo yatakwenda vizuri tu, Huyu slowslow ni mtu wa ndani kina msando watachemka tu🤣
Orketeemi JF-Expert Member Joined Feb 12, 2013 Posts 5,524 Reaction score 14,199 Sep 1, 2025 #19 Umeanza Pendaelli said: Sikuwahi kujua kumbe bashe ni mwanamtandao! Zito sina shaka nae kwa mujibu wa pole pole Click to expand... Umeanza Kufuatilia Siasa lini? Bashe ni kijana mtiifu wa Rostam.
Umeanza Pendaelli said: Sikuwahi kujua kumbe bashe ni mwanamtandao! Zito sina shaka nae kwa mujibu wa pole pole Click to expand... Umeanza Kufuatilia Siasa lini? Bashe ni kijana mtiifu wa Rostam.
Kibanga Ampiga Mkoloni JF-Expert Member Joined Aug 9, 2007 Posts 19,021 Reaction score 9,177 Sep 1, 2025 #20 Pendaelli said: Sikuwahi kujua kumbe bashe ni mwanamtandao! Zito sina shaka nae kwa mujibu wa pole pole Click to expand... Sasa huyo so konda wao, wamemlea mwenyewe pale Habari Cooperations chini ya Rostam, labda Mzee Ulimwengu atuambie ilikuwake akaliuza gazeti pendwa la RAI Kwa Rostam
Pendaelli said: Sikuwahi kujua kumbe bashe ni mwanamtandao! Zito sina shaka nae kwa mujibu wa pole pole Click to expand... Sasa huyo so konda wao, wamemlea mwenyewe pale Habari Cooperations chini ya Rostam, labda Mzee Ulimwengu atuambie ilikuwake akaliuza gazeti pendwa la RAI Kwa Rostam